Rabu, 02 September 2009

Salamu toka kwa mdau...


Napenda kuchukua nafasi hii katika chombo chetu hiki cha kupashana habari kwa kuwapongeza waislamu wote wanaosoma katika chuo cha urafiki Lumumba kwa kumalizi siku kumi za kwanza za mfungo na mungu awajalie na awape nguvu,moyo na uwezo wakumalizia siku zilizo bakia. kila la kheri. Shabani H. Biboze kny. Waislamu wote RUDN

Tidak ada komentar:

Posting Komentar