Rabu, 25 Februari 2009

Du! Russia ni noma...cheki noma hizooo...

MOSCOW, February 25 (RIA Novosti) - A group of Russian Navy officials are suspected of attempting to smuggle 30 anti-submarine missiles and 200 airplane bombs worth a total of $18 million to Tajikistan for sale to China.

Russia's chief military prosecutor, Sergei Fridinsky, said a criminal case had been opened and an investigation was ongoing, adding that the smugglers included a number of businessmen.

A Navy spokesman confirmed the statement, adding that the consignment had been listed in a customs declaration as "de-commissioned, recycled ammunition."

Capt. 1st Rank Igor Dygalo said the smuggling operation was prevented by "the Navy, in conjunction with the Chief Military Prosecutor's Office and the Federal Security Service (FSB)."

According to some media reports, high-ranking Navy officials, including vice admirals and rear admirals, may have been involved in the scheme.

Iran nayo haiko nyuma..haya bwana..

TEHRAN, February 25 (RIA Novosti) - Iran's nuclear chief said on Wednesday the Islamic Republic had 6,000 operating centrifuges at a uranium enrichment facility at Natanz and was planning to install a total of 50,000 over the next five years.

"We have 6,000 working centrifuges at present and we are planning to increase their number next year," Vice President Gholamreza Aghazadeh, who is also the head of Iran's Atomic Energy Organization, said.

He reiterated that the Islamic Republic would continue pursuing nuclear technology to generate electricity, despite international demands to halt its controversial nuclear program.

"We have a plan for the next five years. It envisions the installation of 50,000 centrifuges over this period," he said.

"It is time for the West and the U.S. to acknowledge and accept the fact that Iran is a nuclear power. Even if they refuse to do so, Iran will remain a nuclear power," Aghazadeh added.

Iran is under three sets of relatively mild UN Security Council sanctions over its nuclear program. Western powers led by the United States, along with Israel, accuse Tehran of attempting to develop nuclear weapons.

Iran insists it plans to use enriched uranium fuel produced at Natanz in its first domestically-built nuclear power plant, in the town of Darkhovin, which is scheduled to become operational in 2016.

Meanwhile, the head of Russia's state nuclear power corporation Rosatom Sergei Kiriyenko announced earlier on Wednesday that Russia had completed the construction of Iran's first nuclear power plant at Bushehr and was due to start a series of pre-launch tests at the facility.

The announcement triggered an immediate response from Israel's Foreign Ministry, which said the completion of Iran's first nuclear power plant was "bad news" for the whole world.

The plant in south Iran, which Russia undertook to finish as part of a 1998 contract, was originally scheduled to go on line at the end of 2006, but the date has been pushed back several times.

Baraza la Seneti liko mbioni kumshitaki George Bush

The U.S. senate is planning to consider the creation of a special committee to investigate the activities of retired President George W. Bush, AFP news agency reports.
The proposed commission would focus on the approach of the Bush administration towards national security in areas such as wiretapping and harsh interrogations, which received past criticism from human rights organizations.

Senate Judiciary Chairman Patrick Leahy said the experts to make up the so-called "truth commission" will have to decide whether the Bush administration made mistakes in its policies. Leahy, a Democratic party veteran, said the committee should meet to prevent similar mistakes from being made in the future.

The question of the creation of a “truth” commission will be considered during the Senate’s special hearing, the date of which has not yet been set.

Minggu, 22 Februari 2009

Easy Nokia formatting.....

Is your Nokia Attacked by virus..format it now completely


(1) enter *#7780#

(2) then after rebot enter *#7370#

Your phone is already as from market.

NOTE: ALL DATAS INCLUDING STORED PASSWORDS WILL BE LOST IN THE PHONE MEMORY. MEMORY CARD IS NOT FORMATTED

ALTENATEVELY: switch off your mobile phoe. Then press the following three keys

Green key used to call or receive calls + star (*) key + key number 3 while holding all three keys, switch on your mobile. FORMAT will restart and format your mobile


Hoja ya ufisadi kuimaliza CCM kwenye majimbo Mara, Manyara, Kigoma, Kilimanjaro

MIVUTANO ya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inatarajia kufanikisha jitihada za Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhitimisha vyema mpango wake wa kuongeza idadi ya wabunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

CHADEMA imejipanga kujiimarisha zaidi katika ngazi ya ubunge kutokana na kile kinachobainishwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa, chama chenye wabunge wengi ndicho kinachounda Serikali.

Na kutokana na masharti hayo ya Katiba, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaweza kutoka chama kingine na kile kitakachounda Serikali, yaani chenye wabunge wengi.

Mwenendo wa kisiasa nchini unabainisha kuwa nguvu za chama hicho zimeongezeka na msingi wa ongezeko hilo ni utendaji wa wabunge wa chama hicho ndani ya Bunge, na tayari katika baadhi ya majimbo ambako chama hicho hakina wabunge dalili zinaonyesha mafaniko.

Kutokana na hali hiyo, taarifa zaidi zinabainisha kuwa huenda Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akaingia katika kinyang’anyiro cha ubunge na hivyo kutorejea katika kinyang’anyiro cha urais, kama ilivyokuwa mwaka 2005.

Taarifa hizo zinaendelea kubainisha kuwa uamuzi wa chama hicho kuwa na mgombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu mwakani utaegemea zaidi Katiba ya chama hicho.

Katiba ya chama hicho inatoa fursa kwa mwanachama yeyote wa chama hicho kugombea nafasi ya urais. Hata hivyo, mbali na uwezekano wa chama hicho kuteua mgombea mwingine wa urais badala ya Mbowe, fursa nyingine iliyokuwapo ni kuunga mkono mgombea urais wa chama kingine cha upinzani.

Katika Uchaguzi Mkuu wa 2005, Mbowe aligombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, baada ya kuamua kutotetea nafasi yake ya ubunge. Mbowe alikuwa mbunge wa Hai na alikuwa kati ya wabunge machachari katika Bunge lililokuwa chini ya Spika, Pius Msekwa.

Taarifa zilizotufikia zinabainisha kuwa kuna uwezekano mkubwa kwa makundi yanayovutana CCM na hususan ngazi ya majimbo ya uchaguzi wa wabunge kuinufaisha CHADEMA.

Uchunguzi wetu unabainisha kuwa takriban katika kila mikoa na hata katika majimbo mengi ya uchaguzi Tanzania Bara, CCM imegawanyika katika makundi kama ilivyokuwa katika Jimbo la Uchaguzi la Tarime.

Katika Jimbo la Tarime, CCM iligawanyika katika kambi mbili zilizokuwa zikiongozwa na Christopher Gachuma na Kisiery Chambiri.

Kutokana na mgawanyiko huo na kutokana na ukweli kwamba CCM ilihitaji mgombea mmoja kutoka kundi mojawapo, kambi ambayo ilishindwa kutoa mgombea ilitoa ushirikiano kwa mgombea wa CHADEMA.

Hali hiyo ya mgawanyiko Tarime ndiyo iliyopo katika baadhi ya majimbo, ambayo ni pamoja na Vunjo, ambalo kwa sasa mbunge wake ni Aloyce`Kimaro.

Uchunguzi wetu umebaini kuwa msimamo wa Kimaro katika vita dhidi ya ufisadi ndiyo chanzo cha kuibuka kwa kundi linalompinga. Kimaro amekuwa mstari wa mbele kushinikiza hatua zichukuliwe dhidi ya Rais mstaafu, Benjamin Mkapa au yeye mwenyewe (Mkapa) atoe maelezo kwa umma kuhusu tuhuma zinazomkabili.

Kutokana na msimamo huo, inaelezwa kuwa wameibuka baadhi ya wana-CCM wanaomkingia kifua Mkapa, ambao pia wamejipanga kwa kushirikiana na mitandao mingine ndani ya CCM kumng’oa mbunge huyo.

Mbali na Vunjo, majimbo mengine ambayo CCM haiko salama ni pamoja na baadhi yaliyomo mkoani Mbeya, ikielezwa kuwa baadhi ya kambi ndani ya CCM zimeandaa wagombea watakaochuana na wabunge wa CCM kwa tiketi ya chama hicho katika kura za maoni.

Majimbo mengine ambayo wabunge wa sasa wa CCM wameandaliwa wapinzani kutoka katika makundi pinzani ndani ya chama hicho ni pamoja na Nzega mkoani Tabora, ambalo Mbunge wake ni Lucas Selelii, Lupa mkoani Mbeya, ambalo mbunge wake ni Victor Mwambalaswa, ambako taarifa zinabainisha kuwa huenda mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, Njelu Kasaka, akajitokeza kumpinga.

Lakini mbali na makundi hayo, baadhi ya majimbo ambayo CHADEMA inatarajiwa kutoa ushindani ni pamoja na Mbeya Vijijini, ambako mbunge wake wa sasa Luckson Mwanjale alipata ushindi wa asilimia 35 ya waliopaswa kupiga kura.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa Freeman Mbowe huenda akaenda kugombea ubunge katika jimbo lake la zamani la Hai ambalo kwa sasa mbunge wake ni Fuya Kimbita.

Mkurugenzi wa masuala ya Bunge Halmashauri wa CHADEMA, John Mrema, kuhusu uwezekano wa Mbowe kuwania ubunge pamoja na mikakati ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao.

John Mrema

Mkurugenzi wa masuala ya Bunge Halmashauri wa CHADEMA, John Mrema

‘‘Ni mapema mno kusema kuwa Mwenyekiti wetu (Mbowe) atakwenda kugombea ubunge na kutogombea urais. CHADEMA ni chama kinachofuata demokrasia wagombea huchukua fomu na kupitishwa na mkutano mkuu. Hatua hizo zote bado hazijafikiwa,’’ alisema Mrema, ambaye naye taarifa zinabainisha kuwa huenda akagombea ubunge katika jimbo mojawapo mkoani Kilimanjaro.

Lakini mbali na kutokuwa muwazi katika suala hilo, Mrema alisema Operesheni Sangara imekifanya chama hicho kutambua nafasi na nguvu zake ndani ya jamii ya Watanzania.

‘‘Ipo mikoa ambayo tuna uhakika wa kuongeza idadi ya wabunge. Kwa mfano, mkoani Mara tunataraji kutwaa majimbo saba. Na mikoa mingine tunayotarajia kupata wabunge ni pamoja na Dar es Salaam, Mwanza.’’

Alisema mikoa ya Kigoma, Kilimanjaro, Arusha na baadhi ya mikoa mingine idadi ya wabunge wa chama hicho wanataraji itaongezeka kutokana na mwitikio wa wananchi kuhusu utendaji wa chama hicho.

Taarifa nyingine zilizotufikia zinabainisha kuwa hivi karibuni taasisi moja ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ilifanya utafiti katika majimbo 10 nchini ili kubaini kama wabunge wa sasa wanaweza kung’olewa au la.

Baadhi ya majimbo yaliyohusishwa na utafiti wa taasisi hiyo ni pamoja na Karatu, ambalo Mbunge wake ni Dk. Wilbroad Slaa (CHADEMA), Kigoma Kaskazini-Kabwe Zitto (CHADEMA), Urambo Mashariki-Samuel Sitta (CCM), Mbozi Mashariki-Godfrey Zambi (CCM), Simanjiro-Christopher ole Sendeka (CCM), Mpanda Kati-Saidi Arfi (CHADEMA) na Moshi Mjini-Philemon Ndesamburo.

Kwa mujibu wa utafiti huo, baadhi ya majimbo imebainika kuwa ni vigumu kuwang’oa wabunge wa sasa kwa kura kupitia uchaguzi huru na wa haki.

Utafiti katika majimbo hayo unaelezwa kulenga kusaidia kundi fulani katika siasa kutokana na kuonekana dhahiri kuyahusu majimbo yenye wabunge wanaokera baadhi ya wanasiasa, hususan wale wanaoguswa na tuhuma mbalimbali za ufisadi zilizoanikwa hadharani katika miaka ya karibuni.

majaribio ya kwanza ya bajeti kwa Rais Obama..

Obama faces test of political, economic artistry

President seeks to bolster economy via spending, but also cut budget deficit

Video
Obama's tasks at hand
Feb. 22: NBC’s David Gregory, moderator of “Meet the Press,” joins NBC’s Jenna Wolfe to discuss the task at hand as President Barack Obama begins his second month in office.

Today show

Slideshow
Image: President Obama with supporters in Fort Myers, Florida
First 100 days
President Barack Obama gave his first prime-time news conference and took to the road to promote the passage of his economic stimulus bill.

more photos

INTERACTIVE
Track 'em
Explore and track the Obama's campaign pledges. See if he keeps his word, and vote on his progress.

NBC News

Video: White House
Gregory previews Obama’s agenda
Feb. 22:NBC’s David Gregory, moderator of “Meet the Press,” joins NBC’s Jenna Wolfe to discuss the task at hand as President Obama begins his second month in office.

Obama: Tax cuts will be felt by April 1
Obama talks money with mayors
New York Post’s so-so apology
INTERACTIVE
Obama's Cabinet
Who are in the key roles
An historic election

Take a look back at the election and inauguration of President Obama.
• Decision '08
• The Inauguration

updated 10:53 a.m. ET Feb. 22, 2009

WASHINGTON - President Barack Obama moves into a week that will test his political and economic artistry as he pushes forward with plans to spend unprecedented hundreds of billions to rescue the collapsing economy while also promising to cut America's record budget deficit.

The new administration will outline spending cuts to halve the federal budget deficit in four years by cutting Iraq war spending, raising taxes on wealthy Americans and turning efficiency experts loose on government outlays, an administration official said on Saturday.

The economic pincers gripping Obama's presidency will only be compounded by political dislocation. Republicans, especially the most conservative lawmakers and state governors, already are loudly attacking administration spending plans designed to put a floor under the failing economy.

Story continues below ↓


But cutting the budget — a move Obama telegraphed in his weekly message to Americans on Saturday — is sure to stir anger among liberal Democrats who are determined to restore robust government spending on social programs.

"We can't generate sustained growth without getting our deficits under control," Obama said in his weekly radio and Internet address. His budget will be "sober in its assessments, honest in its accounting, and lays out in detail my strategy for investing in what we need, cutting what we don't, and restoring fiscal discipline."

Obama's proposal for the 2010 fiscal year that begins Oct. 1 projects that the estimated $1.3 trillion deficit he has inherited from former President George W. Bush will be halved to $533 billion by 2013. That's a difference of 9.2 percent of the overall economy now vs. 3 percent in four years. How well he meets that goal is likely to be an issue in the 2012 presidential campaign.

First speech to Congress
The president was expected to outline some broad themes of his budget request Monday at a White House summit on fiscal policy and touch on it during his first speech to Congress on Tuesday night. An official summary of the spending plan goes to Congress on Thursday, barely a week after he signed his $787 billion economic stimulus plan into law.

He will try to bend a handful of rebellious Republican governors to his side at a White House dinner Sunday night and a meeting Monday morning with participants in the annual meeting of the National Governors Conference.

Obama's budget also is expected to take steps toward his campaign promises of establishing universal health care and lessening the country's reliance on foreign oil.

The administration official, who spoke on the condition of anonymity because the president has not yet released his budget, said Obama hopes to achieve his deficit-reduction goal by generating savings as he follows through on three core campaign promises over the next four years.

Obama has pledged to wind down the Iraq war by withdrawing most combat troops within 16 months of taking office. He also has said he would let the temporary Bush tax cuts expire in 2011 for people making more than $250,000 a year, effectively raising their taxes. And, he has vowed to scale back spending and improve government efficiency by eliminating programs that do not work.

The budget projections suggest that Obama has not retreated from those priorities in his first month in office as he concentrated on lobbying for the economic stimulus plan and rescuing the housing, auto and financial sectors.

A gargantuan task
Cutting the deficit by half in just four years would be a gargantuan task at any time, let alone in a period marked by a dangerously declining economy. The recession is well into its second year.

His $787 billion stimulus measure is meant to create jobs but certainly will add to the nation's skyrocketing national debt. He also is implementing the $700 billion financial sector rescue passed last fall on former President Bush's watch. About $75 billion of it is being used toward Obama's plan to help millions of homeowners facing foreclosure.

At the same time, the administration is weighing requests by General Motors Corp. and Chrysler LLC for an additional $21.6 billion. The ailing automakers already have received a combined $17.4 billion in federal loans.

The nonpartisan Congressional Budget Office says that this year's budget deficit will be at least a record $1.2 trillion — about two times that of the year before. That total includes the financial bailouts and rescue plans Congress approved since last Oct. 1, the start of the government's budget year, but not Obama's hefty stimulus package that's now law.

Some private economists are forecasting that the budget deficit for the current year will hit $1.6 trillion. And, the Treasury Department has said that the recession and massive costs for the $700 billion financial bailout have pushed the federal deficit to an all-time high for the first four months of the budget year.

Obama's budget director, Peter Orszag, told lawmakers recently that even after the economy recovers, annual deficits could reach $750 billion or so and steadily exceed $1 trillion by the end of the next decade. And, Obama himself has said, without decisive action, "trillion-dollar deficits will be a reality for years to come."

Also Saturday, the White House announced that British Prime Minister Gordon Brown is coming to the Washington next month for talks with Obama.

The meeting is set for March 3. The leaders plan to discuss the global financial crisis, an economic summit set for London in April and the war in Afghanistan, as well as NATO's upcoming 60th anniversary summit.

Obama is hosting another foreign leader — Japanese Prime Minister Taro Aso — on Tuesday.

Jumat, 20 Februari 2009

Pata mfululizo wa siasa za marekani...Leo tunakuletea marais waliouawa wakiwa madarakani,,,,,,,,,,,,,

swali: je yawezekana ma-makamu hawa wa marais ndo waliofanikisha mauaji ya marais hao ili wao wakae madarakani?

marais 4 wa Marekani waliuawa wakati wakiwa madarakani na wengine 4 walikufa..walifariki..kwa sababu mbalimbali. mmoja aliachia ngazi.

  1. John Tyler became President when William Henry Harrison died. Initially sought re-election in 1844 as the nominee of the "National Democratic Tyler Convention" but withdrew before the election.
  2. Millard Fillmore became President when Zachary Taylor died. Sought the Whig nomination in 1852, but lost to Winfield Scott. Four years later, ran and lost as the candidate of the American and Whig Parties.
  3. Andrew Johnson became President when Abraham Lincoln was assassinated. Sought the Democratic nomination in 1868, but was unsuccessful.
  4. Chester A. Arthur became President when James Garfield was assassinated. Sought a full term, but was not re-nominated.
  5. Theodore Roosevelt became President when William McKinley was assassinated; then was elected to full term. Did not seek re-election. Four years after leaving office, ran again and lost.
  6. Calvin Coolidge became President when Warren Harding died; then was elected to full term. Did not seek re-election.
  7. Harry S. Truman became President when Franklin D. Roosevelt died; then was elected to full term. Did not seek re-election.
  8. Lyndon B. Johnson became President when John F. Kennedy was assassinated; then was elected to full term. Did not seek re-election.

  1. Gerald Ford became President when Richard Nixon resigned; then lost election to full term.

Benjamin Nyetanyau waziri mkuu wa Israel....

JERUSALEM – Benjamin Netanyahu appealed to his moderate rivals Friday to join him after the hard-liner was formally tapped to put together Israel's next ruling coalition — an alliance that would dilute the power of nationalists bent on derailing Mideast peace talks.

Foreign Minister Tzipi Livni, in a seeming about-face, indicated she might be willing to come on board a Netanyahu government.

But Livni, a centrist, would certainly exact a high price: sharing the prime minister's job she so fervently sought with a reluctant Netanyahu. Should he balk, his alternative would be an unstable coalition of right-wingers sure to collide with the Obama administration and its ambitious plans for ending 60 years of conflict between Israel and the Palestinians.

Netanyahu urged Livni of the governing Kadima Party and Defense Minister Ehud Barak of the Labor Party to join his government.

"I call on the members of all the factions ... to set politics aside and put the good of the nation at the center," Netanyahu said during a low-key ceremony at the president's residence in Jerusalem.

Friday's decision by Israel's ceremonial president, Shimon Peres, to tap Netanyahu ended days of speculation and gave Netanyahu six weeks to put together a ruling coalition.

Peres had been meeting with political leaders as he decided which candidate would be given the task of cobbling together a new coalition in the aftermath of Israel's national election last week.

The choice of Netanyahu was cemented on Thursday when Avigdor Lieberman, who heads the hawkish Yisrael Beiteinu (Israel Our Home) party, endorsed him.

Lieberman's party, which based its campaign on requiring Israel's Arab citizens to swear loyalty to the Jewish state or lose their citizenship, came in third place in the Feb. 10 election, after Kadima and Netanyahu's Likud. That essentially allowed him to determine whether Netanyahu or Livni would be able to muster the backing of a majority in parliament.

Kadima edged out Likud in the election, capturing 28 seats to Likud's 27. But Likud is in a better position to put together a coalition because of gains by Lieberman and other hard-line parties.

Emerging from her meeting with Peres, Livni said she would not join a hard-line government and was prepared to sit in the opposition "if necessary."

"I will not be able to serve as a cover for a lack of direction. I want to lead Israel in a way I believe in, to advance a peace process based on two states for two peoples," Livni said.

With Livni out, Netanyahu might have little choice but to forge a coalition with nationalist and religious parties opposed to peacemaking with the Palestinians and Israel's other Arab neighbors.

This could set Israel on a collision course with the U.S., the Jewish state's top international patron, and its new president, who has vowed to make Mideast peace a top priority. Netanyahu's hold on power would be more tenuous in a narrow coalition of rightists, where his allies could bring down the government in the face of any concession for peace.

Putting together a broad, centrist government would be a tall order for Netanyahu, however.

Livni has said she will not join Netanyahu in a government unless she can be an equal partner, presumably through the sort of "rotation" agreement Israel has tried in the past in which an election's top two winners each get to be prime minister for half of the government's four-year term.

Netanyahu, however, has ruled out any such arrangement.

As the political wrangling in Israel gained momentum, sporadic violence continued in Gaza in the absence of a long-term cease-fire between Israel and Hamas. Militants fired mortar shells at an Israeli patrol along the Gaza-Israel border Friday, Israeli defense officials said, and the troops returned fire. There were no injuries reported.

Egypt has been trying to mediate a truce since Israel ended its Gaza offensive Jan. 18. Hamas wants Israel to open Gaza's blockaded border crossings, while Israel wants a halt to arms smuggling and the return of a soldier captured in 2006.

Netanyahu has said Israel must topple the Hamas government in Gaza and says Israel halted the Gaza offensive too soon.

Kamis, 19 Februari 2009

BALTIKA OYEEEEEEEE....Waziri wa ulinzi wa UJERUMANI akikamua baltika...

Mkutano wa NATO Poland.

Waziri Jung.

Waziri wa ulinzi wa Ujerumani Jung apinga mpango wa Marekani .

Wakati Marekani imewataka leo washirika wake wa NATO huko Krakau,Poland kuchangia vikosi zaidi kulinda usalama wakati wa uchaguzi wa Rais hapo August,nchini Afghanistan,washirika hao hawakuitikia ombi hilo mikonop miwili.

Waziri wa ulinzi wa Ujerumani Bw.Franz Josef Jung, amepinga leo mpango wa Marekani wa kukitumiwa kikosi cha NRF cha NATO ili kusimamia usalama wakati wa uchaguzi nchini Afghanistan.

Waziri wa ulinzi wa Marekani Robert Gates alisema

kwamba hangeomba idadi maalumu ya vikosi zaidi kuchangiwa na wanachama wa NATO wakati wa kikao cha leo. Alisema lakini kuwa Washington ingependa kuiona wanachama wanachangia kwa kipindi kifupi kijacho vikosi zaidi kutoka kile kikosi cha kutumika haraka panapozuka msukosuko-RAPID DEPLOYMENT FORCE (NRF) kwa ufupi ambacho hadi sasa bado kutumika.

Waziri wa ulinzi wa Ujerumani Franz Josef Jung alisema leo huko Krakau kwamba anaupinga mpango huo wa Marekani wa kutumiwa kikosi hicho kuweka usalama wakati wa uchaguzi wa rais wa afghanistan hapo August 20.Nchi nyengine shirika za Ulaya zinafahamika kuwa n a msimamo sawa na huo .Kikiwa kimeundwa mwaka 2002 wakati wa mkutano wa kilele mjini Prague,Jamhuri ya Czech na kutangazwa tayari kufanya kazi miaka 4 baadae, NRF ni kikosi kinachokusudiwa kulipa shirika la ulinzi la NATO msaada haraka unapohitajika ukijumuisha vikosi tangu vya wanamaji,vya aridhini na hata vya wanahewa na chernye uwezo wa kutumika baada ya kutolewa ilaani ya siku 5 tu tena popote pale ulimwenguni.

Lakini kutoafikiana juu ya jukumu lake na kutokuwa tayari kabisa kwa wingi wa wanachama kuchangia vikosi kumeweka pingamizi katika matumizi yake katika safu za mapigano.

Hadi sasa kikosi hicho kimetumika mara chache tu na hasa kwa shughuli za uomkozi za kibinadamu mfano katika ule msiba wa mafuriko wa kimbunga cha Katrina huko Marekani,2005.

Mpango wa asili wa kuwa na kikosi cha askari 25,000 umeshaachwa kabisa.Waziri wa ulinzi wa Uingereza,John Hutton aliarifu kwamba atautumia mkutano huu wa leo mjini Krakau kupendekeza kuundwa kwa kikosi cha askari 3000 cha kuwa tayari kikiwa na jukumu la kulinda ardhi ya nchi za NATO indapo ikihujumiwa.Raia hii ni kuzitoa wasi wasi nchi za ulaya ya mashariki zanachama wa NATO kufuatia uvamizi wa Urusi nchini Georgia August mwaka jana pamoja na kutoa msaada zaidi kwa Afghanistan.

Waziri huyo wa uingereza amesema kikosi cha aina hii chaweza pia kikazima ubishi uliozuka juu ya matumizi ya kikosi cha NRF.

Rais barack Obama wa Marekani ameidhinisha kupelekwa askari 17.000 zaidi nchini Afghanistan wiki hii na hii itafanya jumla ya askari wake huko kuwa 55,000.Hii itaongezea askari 30.000 waliopo huko kutoka nchi 40 nyenginezo nyingi zikiwa wanachama wa NATO.

Baadhi ya nchi za ulaya zimetangaza mipango ya kupeleka Afghanistan askari zaidi lakini idadi yao haizidi mamia na sio maalfu na Ujerumani inadai kikosi cha NRF kamwe kisitumike Afghanistan kwa shughuli kama hiyo ya kusimamia usalama wakati wa uchaguzi.

Marekani imefadhahishwa na kusitasita kwa washirika wake wa Ulaya kujitolea kupeleka Afghanistan vikosi vyao zaidi tena kwa muda mrefu na hasa upande wa kusini mwa Afghanistan ambako changamoto dhidi ya watalibani ni kali mno.Kikao cha leo mjini Krakau,Poland kitatoa mwangaza kwa kadiri gani pande hizi mbili zitaridhiana.

endelea na mfululizo kuhusu marekani...Leo tunakuletea kuhusu makamu wa Rais

Vice President of the United States is The President of the Senate

Salary and benefits

The Vice President's salary is the same as that of the Chief Justice of the United States and the Speaker of the U.S. House of Representatives which, for 2009, is set at $221,000. The salary was set by the 1989 Government Salary Reform Act which also provides for an automatic cost of living adjustment for federal employees.

The Vice President does not automatically receive a pension based on that office, but instead receives the same pension as other members of Congress based on his position as president of the Senate. The Vice President must serve a minimum of five years to qualify for a pension

The annual salary of each senator, as of 2008, is $169,300; the President pro tempore and party leaders receive $188,100. In June 2003, at least 40 of the then-senators were millionaires. In addition to their salaries, senators' retirement and health benefits are identical to other federal employees, and are fully vested after five years of service.

Five former Vice Presidents are still living:

  • Walter Mondale
  • George H. W. Bush
  • Dan Quayle
  • Al Gore
  • Dick Cheney

Former Vice Presidents are entitled to lifetime pensions, but unlike former Presidents they are not entitled to Secret Service personal protection. However, former Vice Presidents unofficially receive Secret Service protection for up to six months after leaving office.

As of June 2008, a bill entitled the "Former Vice President Protection Act of 2008" had passed in the House of Representatives. Still needing Senate consideration, the bill would provide six-month Secret Service protection by law to a former Vice President and family.

Former Democratic Vice Presidents are ex officio superdelegates to the Democratic National Convention.


Longevity

  • John Nance Garner died fifteen days before his 99th birthday.
  • Levi P. Morton died on his 96th birthday.
  • Gerald Ford died at the age of 93.
  • John Adams died at the age of 90.

Age while in office

  • John C. Breckinridge, the youngest ever to serve, was 36 when he became Vice President in 1857.
  • Alben W. Barkley, the oldest ever to serve, was 75 when he left the vice presidency in 1953.

Seven died in office

  • George Clinton in 1812
  • Elbridge Gerry in 1814
  • William R. King in 1853
  • Henry Wilson in 1875
  • Thomas Hendricks in 1885
  • Garret Hobart in 1899
  • James Sherman in 1912

Two resigned

  • John C. Calhoun resigned on December 28, 1832, to take a seat in the Senate, having been chosen to fill a vacancy.
  • Spiro Agnew resigned on October 10, 1973, upon pleading no contest to charges of accepting bribes while Governor of Maryland.

Two were the apparent target of an assassination attempt (both unsuccessful)

  • Andrew Johnson was a target of the same conspiracy which murdered President Abraham Lincoln and attempted to murder Secretary of State William H. Seward
  • Thomas R. Marshall was a target of a letter bomb in 1915

One have been a target of an assassination attempt

  • Dick Cheney was in the vicinity of a bomb allegedly meant for him. See 2007 Bagram Air Base bombing.

Nine succeeded to the Presidency

  1. John Tyler
  2. Millard Fillmore
  3. Andrew Johnson
  4. Chester A. Arthur
  5. Theodore Roosevelt
  6. Calvin Coolidge
  7. Harry S. Truman
  8. Lyndon B. Johnson
  9. Gerald Ford

Four sitting Vice Presidents were elected President

  1. John Adams (1789–1797) was elected President in 1796.
  2. Thomas Jefferson (1797–1801) was elected President in 1800.
  3. Martin Van Buren (1833–1837) was elected President in 1836.
  4. George H. W. Bush (1981–1989) was elected President in 1988.

Four sitting Vice Presidents won their party's nomination for President but lost the general election.

  1. John C. Breckinridge ran in 1860.
  2. Richard Nixon ran in 1960.
  3. Hubert Humphrey ran in 1968.
  4. Al Gore ran in 2000.

Fourteen Vice Presidents never ran for President.

  1. Elbridge Gerry
  2. Richard Mentor Johnson
  3. George M. Dallas
  4. William R. King
  5. Hannibal Hamlin
  6. Schuyler Colfax
  7. Henry Wilson
  8. William A. Wheeler
  9. Adlai E. Stevenson I
  10. Garret Hobart
  11. James S. Sherman
  12. Charles G. Dawes
  13. Spiro Agnew
  14. Dick Cheney

One former Vice President was elected President

  • Richard Nixon was elected President in 1968 and was re-elected in 1972. He had been Vice President to Dwight D. Eisenhower from 1953 to 1961.

Only one President (Franklin D. Roosevelt) had more than two different Vice Presidents

  1. John Nance Garner
  2. Henry A. Wallace
  3. Harry S. Truman

Two have been Acting President

  1. George H. W. Bush acted as President for Ronald Reagan on July 13, 1985.
  2. Dick Cheney has acted twice as President for George W. Bush, on June 29, 2002 and July 21, 2007[25].

They officially acted as President due to presidential incapacity under the 25th Amendment.

Three Vice Presidents went onto became Nobel Peace Prize Laureates

  1. Theodore Roosevelt 1906 (when he was the President)
  2. Charles Gates Dawes 1925
  3. Al Gore 2007 (after he left the office)

Eight served two full terms

  1. John Adams
  2. Daniel Tompkins
  3. Thomas R. Marshall
  4. John Garner
  5. Richard Nixon
  6. George H. W. Bush
  7. Al Gore
  8. Dick Cheney

Previous positions

As of 2009[update] every Vice President except Chester A. Arthur, Henry A. Wallace, Charles Dawes and Garret Hobart has served as a congressman, senator, or governor.


Fuatana na THE THOMCOM kujua ni marais Wangapi wa Marekani waliuwawa wakati wakiwa marais.....






AJIRA GEORGIA YAPUNGUA SANA KIASI CHA RAIS KUTANGAZA ZAWADI NONO KWA MTU YEYOTE ATAKAYEWEZA KUBUNI AJIRA ZA WATU 100 TUU...

Georgian president Mikhail Saakashvili has pledged that he will become godfather to the children of any businessmen who manage to create at least 100 jobs.

The current unemployment level is 13 per cent, the highest rate among Caucasian countries. According to a recent report by the World Bank, it will rise by 100,000 to reach 350,000 people, accounting for one fifth of Georgia’s overall workforce.

Mikhail Saakashvili admits that pensioners, teachers, medics and policemen have low incomes and says tackling poverty is his main priority. Interestingly, at the beginning of this year Georgians were deprived of free medical treatment and other social benefits. The World Bank estimates the poverty rate will increase from the current 23.6 per cent to 25.9 per cent in 2010.

It looks like the initiative has been inspired by the Ukrainian president Viktor Yushchenko, who is the godfather of Saakashvili’s son. The two leaders get along extremely well, so creating more family and friendly ties can indeed be an efficient solution to the economic crisis.

The Georgian leader believes there are actually few problems remaining in his country.
Indeed, “in the last few years, we have overcome corruption and organised crime,” Saakashvili said recently.

BAADA YA RAIS WA UKRAIN KUGOMBANA NA RUSSIA, SASA AKOSA HATA NAULI YA KWENDA MAREKANI...

Ukraine's Communist party is collecting funds to buy President Yushchenko a ticket to the US. The people behind the move say the mock campaign symbolises the "people's impeachment" of their current leader.

Party members announced the plan during parliament's daily session, bringing turmoil to the meeting. Supporters started throwing paper airplanes and waving posters with the US flag.

After that they brought in a suitcase which they used to collect the money for the president's departure.

“We’ve bought him a ticket with an open date and asked the US president to give employment to George W. Bush’s puppet,” Evgeny Tsarkov, Communist party member, explained.

He said the party is going to award Yushchenko with an order “for giving up the interests of Ukraine to Romanians.”

RAIA WA NIGERIA KIZIMBANI KWA KUGHUSHI NYARAKA....

Raia wa Nigeria aangua kilio mahakamani Dar

RAIA wa Nigeria Oloasei Bogolai ambaye anakabiliwa na shitaka la kughushi hati ya kusafiria, juzi aliangua kilio mbele ya mahakama ya wilaya Ilala baada ya wadhamini aliokuwa anawategemea kutofika mahakamani.

Bongolai alifika mahakamani na kuambiwa kwamba wadhamini wake hawapo jambo ambalo lilimshitua nakuanza kulia.

Kilio hicho kilisababisha Hakimu Samwel Maweda kuingilia kati na kumwambia akimnyamazisha kwa sababu tatizo lake la dhamana bado linafuatiliwa na jamaa zake.

Kesi hiyo ipo mbele ya Hakimu Agnes Mchome na iliahirishwa mbele ya Hakimu Maweda kutokana na hakimu husika wa kesi hiyo kutofika mahakamani.

Hakimu Maweda aaliahirisha kesi hiyo hadi Machi 4 mwaka huu.

Kupangwa kwa tarehe nyingine kwa kesi hiyo kulimfanya raia huyo wa Nigeria kuchanganyikiwa na kuendelea kushikwa na kigugumizi cha kilio huku akitetemeka.

Muda mfupi baada ya kuahirishwa kwa kesi hiyo, alitokea jamaa yake ambaye alijitambulisha kuwa yeye ni Mwanafunzi wa chuo Kikuu Mzumbe na kwamba anafanya taratibu za kuueleza ubalozi wa Nigeria tatizo hilo ili kama kuna uwezekano ufike mahakamani kumwekea dhamana.

Baada ya kusikia kauli hiyo mshitakiwa huyo aliacha kulia na kutetemeka baada ya kuridhika na maelezo yaliyotolewa na jamaa yake huyo.

NAO WAJA TZ KUSOMA?

Waswaziland waja Tanzania kujifunza mfumo mpya NSSF

VIONGOZI waandamizi 11 kutoka nchi ya Swaziland umewasili nchini jana, kwa lengo la kujifunza namna ya kubadilisha mfumo wa malipo ya mkupuo unaotumika nchini humo kupitia mfuko wa Penshieni wa nchi hiyo (Swaziland National Provident Fund) na kuingia katika mfumo mpya wa malipo ya awamu unaotumika nchini.

Msafara huo unaongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Shirika la Akiba ya Uzeeni nchini Swaziland (SNPF), Prince Lonkhokhela Dlamini upo nchini kwa ziara vya siku tatu za mafunzo.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF nchini, Dk Ramadhan Dau, alisema wajumbe hao watajifunza jinsi ya kuachana na mfumo wa zamani na jinsi ya kuingia mfumo mpya ambao unaotumika kwa mafanikio nchini.

“Kwa sasa nchi nyingi za Afrika bado zinatumia mfumo wa zamani ambao hauna faida kwa jamii, hali ambayo inazifanya nchi nyingi kubadilika na kuiga mfumo mpya baada ya kuona mafanikio ya mfumo huo nchini,” alisema Dau

Dau, aliwataja wajumbe wengine waliopo katika msafara huo kuwa ni Meneja Mkuu wa shirika hilo, Miccah Nkabinde, Naibu Kamishna Wizara ya Kazi na Ustawi wa Jamii, E.L.B Dlumini, na kutoka shirikisho la wafanyakazi nchini humo wapo, Vicent Ncongwane na Alex Fakundze.

Wengine ni Mwenyekiti wa bodi Muungano wa wafanyakazi nchini humo, Mdududzi C. Gina, mbunge wa Bunge la nchi hiyo, Henry Dlamini na maofisa wakuu kutoka vyama vya wafanyakazi, Jumuiya ya wafanyakazi na waajiri, ambao ni Jobe Mashwama, Bongani Mtshali, Tums du-Pont na Samuel Shongwe.

Dau, alisema wajumbe hao, jana walikutana na Waziri wa Ajira, Kazi na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma Kapuya, lakini pia watakutana na viongozi mbalimbali wa vyama vya wafanyakazi na waajiri nchini kwa dhumuni la kujifunza masuala hayo.

“Kutokana na mabadiliko tuliyoyapata kupitia mabadiliko ya mfumo huo, miaka ya hivi karibuni NSSF imekuwa ikipigiwa chapuo katika nchi za Afrika na kufanya wageni mbalimbali kutoka nchi zao kuja kujifunza namna ya kuendesha mifuko ya jamii na baadhi ya nchi zilizowahi kuleta wajumbe wake kwa lengo la kujifunza ni Ghana, Msumbiji, Sierra Leone, Kenye na Gambia,” alisema Dau

Naye, Mwenyekiti wa Bodi Muungano wa Wafanyakazi nchini humo, Mdududzi C. Gina, alisema wapo nchini kwa mafunzo hayo kwa kuwa tanzania ni moja ya nchi zilizobadilisha mfumo ambao unatumika nchini kwao na kuwa na mfumo mpya ambao umeonyesha mafanikio hivyo nao kuvutiwa na kutaka kuingia katika mfumo huo.

“Tumefurahishwa na mapokezi ya ugeni wetu na tumekuja Tanzania kwa mafunzo kwa kuwa ni moja ya nchi ambazo zimebadilisha mfumo wao kutoka mfumo wa mkupuo hadi mfumo mpya wa malipo ya awamu, ambayo nasi tunataka kuyatumia nchini kwetu Swaziland kwa ajili ya mafanikio ya wananchi wetu,” alisema Gina

Korea ya kaskazini yatangaza kuwa iko tayari kupigana vita na Korea ya Kusini

Hillary Clinton awasili Korea Kusini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton amewasili Korea Kusini -kituo chake cha tatu cha ziara yake ya mataifa manne barani Asia.

Akizungumza na waandishi wa habari akiwa ndani ya Ndege kuelekea Seol akitokea Jakata Indonesia, Bibi Clinton amesema kuwa wasi wasi wa kuwepo kwa mabadiliko ya uongozi huko Korea Kaskazini kutokana na ripoti juu ya hali mbaya ya afya ya kiongozi wa taifa hilo kunaonekana kuwa kikwazo katika jitihada za kuitaka nchi hiyo isitishe mpango wake nuklea.


Bibi Clinton amesema kuwa kutokana na hali hiyo kuna umuhimu wa kuwepo kwa mkakati mpya ili kuweza kuondoa mkwamo huo.


Amesema kuwa Korea Kaskazini imekuwa ikichukua msimamo mkali kwenye mazungumzo ya pande sita kuhusiana na mpango wa silaha za nuklia, pengine ni kutokana na harakati za kumtafuta mrithi wa kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-ll ambaye iliarifiwa Agosti mwaka jana kuwa alipatwa na ugonjwa wa kiarusi.


Waziri huyo wa Nje wa Marekani amesema mazingira hayo yanaipatia Korea Kusini ambayo ni mshirika wa nchi za magharibi wakati muhimu na maalum kukabiliana na changamoto za Korea Kaskazini, nani ataweza kuwa mrithi wa kiti cha urais na atakuwa na faida gani kwao.


Korea Kaskazini imetangaza hii leo kuwa majeshi yake yako katika hali ya tahadhari kubwa kupambana na Korea Kusini.


Radio ya taifa ya Korea Kaskazini ilitangaza taarifa ya jeshi la nchi hiyo ikimshutumu Rais Lee Myung-Bak kwa kuandaa mipango ya kutaka kuvamia nchi hiyo na kuonya kuwa jeshi hilo liko tayari kukabiliana na tishio hilo.


Lakini Bibi Clinton amesema kuwa Korea Kusini inaitegemea Marekani katika kusaidia kuirejesha Korea Kaskazini katika meza ya mazungumzo ya kuharibu vinu vyao vya nuklia na kuachana na sera za kibabe.


Amesema kuwa ni lengo la Marekani kuwa na mkakati ambao utaweza kufanikisha azma hiyo mnamo wakati huu ambapo hali jumla ya kiuongozi nchini Korea Kaskazini haifahamiki.


Bibi Clinton anategemewa kuwa na mazungumzo na Rais Lee Myung-Bak pamoja na Waziri wa Nje wa Yu Myung-Bak.Pia atakutana na makamanda wa kikosi cha Marekani nchini humo.Marekani ina kiasi cha wanajeshi elfu 28 na mia tano huko Korea Kusini.


Waziri huyo wa Nje wa Marekani amewasili akitokea Indonesia ambako aliiomba nchi hiyo isaidie mipango ya Rais Barack Obama kurejesha uhusiano mzuri na nchi za kiislam.


Bibi Clinton atahitimisha ziara yake ya Asia nchini China ambako anatarajiwa kuwasili hapo kesho.


Bunge la Kyrgyzstan leo limepiga kura kwa wingi mkubwa kukifunga kituo cha kijeshi cha Marekani

Kyrgyzstan yaamua kufunga kituo cha kijeshi cha Marekani

Bunge la Kyrgyzstan leo limepiga kura kwa wingi mkubwa kukifunga kituo cha kijeshi cha Marekani kilichokuwepo katika ardhi yake.Uamuzi huo ni pigo kubwa kwa majeshi ya muungano nchini Afghanistan.

Mswada wa sheria umepitishwa bungeni bila ya shida.Kutoka jumla ya wabunge 81 waliokuwepo,78 wameunga mkono kukifunga kituo cha Manas. Mbunge mmoja alipinga na wawili walizuia kura zao.Baadae mbunge Zaynidin Kurmanov wa chama tawala Ak Zhol alisema, sheria hiyo sasa inapaswa kutiwa saini na Rais Kurmanbek Bakiyev alieishtusha Washington mwezi uliopita,alipotangaza mpango wa kukifunga kituo hicho cha kijeshi.

Baada ya kutiwa saini, Marekani itaarifiwa kukiondosha kituo hicho kutoka ardhi ya Kyrgyzstan katika kipindi cha siku 180 zijazo. Kwa mujibu wa Avtandil Arabaev mbunge mwingine wa chama tawala,serikali ya Kyrgyzstan kisheria ina haki kamili kujitoa katika makubaliano yaliyotiwa saini pamoja na Marekani.Mbunge pekee aliepinga ni Bakyt Beshimov wa chama cha Social Demokratik. Yeye amesema, hatua ya kukifunga kituo hicho kutadhoofisha usalama katika kanda hiyo na ugaidi utaweza kuenea kwa urahisi.

Uamuzi wa kukifunga kituo cha kijeshi cha Marekani umepokewa kwa hisia mbali mbali katika mji mkuu Bishkek. Kwa mfano mwananchi Vladmir Morozov alisema,amefurahi kuwa hatimae mji wao hautokuwa na Wamarekani waliojifanya kama ni wamiliki wa mji huo.Lakini mwananchi mwengine alisema,wanaotaka kukifunga kituo hicho hawajui wanachozungumza. Kwa maoni yake,Wakyrgyz hawawezi kuishi peke yao. Uchumi haukui. Wanahitaji kaka mkubwa ikiwa ni Marekani,Urusi au nchi nyingine.

Rais Bakiyev alitangaza kukifunga kituo cha Manas baada ya Urusi kuahidi kutoa msaada wa zaidi ya dola bilioni mbili kufufua uchumi uliodorora nchini Kyrgyzstan.Lakini serikali imesisitiza kuwa Moscow haikutoa sharti la kukifunga kituo hicho.Moja lakini ni hakika kufungwa kwa kituo hicho cha kijeshi nchini Kyrgyzstan kutasababisha matatizo zaidi kusafirisha vifaa na mahitaji mengine ya vikosi vya kimataifa nchini Afghanistan,wakati ambapo Rais wa Marekani Barack Obama amepanga kuongeza kwa takriban maradufu idadi ya wanajeshi wake nchini Afghanistan ambako hali ya usalama inazidi kuwa mbaya.

Kituo cha Manas kinachoongozwa na kama wanajeshi 1,000 vikiwemo pia vikosi vya Ufaransa na Uhispania,kilifunguliwa nchini Kyrgyzstan kusaidia majeshi ya muungano yanayopigana dhidi ya Wataliban nchini Afghanistan. Kituo hicho kilifunguliwa kufuatia mashambilio ya Septemba 11 mwaka 2001.Baada ya Kyrgyzstan kutangaza kukifunga kituo cha Manas,Urusi na Tajikistan zimesema zipo tayari kuruhusu ardhi yao kutumiwa kusafirisha vifaa ambavyo si silaha, kwa ajili ya majeshi ya NATO na Marekani nchini Afghanistan.Lakini siku ya Jumanne,Jemadari David Petraeus alikwenda Uzbekistan kukutana na Rais Islam Karimov na kujadili usalama wa kanda hiyo.Ziara hiyo inatazamwa kama ni ishara kuwa Marekani inataka kuitumia nchi hiyo kupitisha vifaa vinavyohitajiwa na majeshi ya muungano nchini Afghanistan.

Rabu, 18 Februari 2009

mafuta yanakwisha? wadosi wa dubai waanza kuukimbia mji..

pata habari zaidi hapa

.....................

wakati Marekani inasaidia Mabenk, ujerumani kufanya UTAIFISHAJI. sheria yapitishwa..

Serikali ya Kanzela Angela Merkel wa Ujerumani, imepitisha leo mswada wa sheria kuweza kutaifisha banki zozote nchini zilizokumbwa na msukosuko wa fedha -hatua ambayo ikionekana mwiko kunyakua mali ya mtu tangu kumalizika vita vya pili vya dunia.Ikiepuka kuigiza utawala wa Manazi ulionyakua mali za wayahudi .

Sheria hii sasa huenda ikaongoza kutaifishwa kwa Benki ya mikopo ya majumba-Hypo Real Estate inayopepesuka.

Katika kuweka kando ahadi iliotoa baada ya vita vya pili vya dunia ya kuheshimu mali za mtu binafsi na kutotaifisha,Ujerumani imekuwa serikali nyengine kuachana na miko hiyo ya soko huru na kutumia akiba za fedha za serikali kuyaokoa mabenki ya kibinafsi yanayoregarega.

Mhanga wa kwanza yamkini likawa Banki la mikopo ya majumba la kusini mwa ujerumani-HYPO REAL ESTATE.

Nchi nyengine pamoja nazo Uingereza na Jamhuri ya Ireland,tayari zimeshataifisha baadhi ya mabanki yao zikitoa hoja ya jinsi msukosuko wa fedha ulivyo mkubwa na haja iliopo kuwalinda walipakodi.

Hatahivyo, Ujerumani ikiona taabu sana kufuata mfano huo wa kile inachokiita "Enteignung"-kutaifisha mali ya watiahisa-shareholders- kwani ni mzigo kichwani mwake ikikumbuka hali ilivyokuwa wakati wa utawala wa Manazi nchini Ujerumani pale mali za wayahudi ziliponyakuliwa kwa nguvu mnamo miaka ya 1930.Hali sawa na hiyo ilikuwapo katika ile iliokua Ujerumani ya Mashariki (GDR) baada ya vita vya pili vya dunia pale mali za baadhi ya watu binafsi zilitaifishwa.

Kanzela Angela Merkel akiitetea hatua ya leo alisema:

"Tumechukua hatua hii sio kuudhofisha mfumo wa soko huru,ni upuuzi kudai hivyo, bali tumefanya hivyo, ili kuufanya uchumi wa soko huru kurejea kufanya kazi barabara.

Na ili kuzitumia fedha za walipa kodi inavyopasa,imetubidi sasa kuona tunajipatia wingi wa sauti mfano katika Hypo Real Estate Bank."

Hatua hizi mbali mbali zilizochukuliwa na serikali zimeshindwa hadi sasa kuleta nafuu katika masoko ya fedha.Hisa katika masoko ya dunia kwa muujibu zilivyopimwa na shirika la MSCI ziliteremka chini leo hivyo zikimurika kuporomoka mno jana usiku barani Asia.

Jana Rais Barack Obama wa Marekani alitia saini kuidhinisha kuwa sheria matumizi ya kitita cha dala bilioni 787 tangu kuwapunguzia wananchi kodi hadi kukuza ajira-hatua kubwa kabisa ya aina hii katika historia ya Marekani.

Rais Obama akasema mpango huo wa kuustawisha na kuimarisha uchumi ndio "mwanzo wa mwisho wa msukosuko wa sasa".

Lakini matatizo 2 pacha yakichomoza kila mara kuanguka kwa bei za vitu na shida ya kupata mikopo,masoko ya fedha yamo katika wasi wasi bado kuhusu hali ya siku zijazo.

Kimsingi, katiba ya Ujerumani au (Grundgesetz) inakataza mtindo wa kutaifisha mali ya mtu binafsi bila ya kwanza kutunga sheria mpya.hatua ambayo imechukuliwa leo.katika kisa cha Benki ya majumba ya Hypo Real Estate, serikali ya Ujerumani imechagua bora kulitaifisha benki hili kwavile inahisi bila kufanya hivyo,inaweza kujikuta shidani kulidhibiti kabisa mikononi mwake.Sababu ni kuwa mtiaji raslimali wake mmoja ni JC Flowers wa Marekani mwenye kumiliki robo ya hisa katika Banki hiyo ya Hypo Real Estate.

Kwahivyo, serikali ya ujerumani itaendelea kupatana na JC Flowers na mazungumzo yao yakishindwa, serikali ya Ujerumani itajaribu kulimiliki kabisa banki hilo kwa kutia raslimali yake kubwa zaidi wakati wa mkutano wa wenyehisa katika Banki hiyo.Sheria hii mpya iliopitishwa leo na baraza la mawaziri mjini Berlin,inawezesha hatua hiyo.

Marekani kupeleka wanajeshi zaidi ya 17 000 Afghanistan


Rais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha kupeleka wanajeshi 17,000 ziada nchini Afghanistan.Amesema,vikosi hivyo vinahitajiwa kuleta utulivu Afghanistan ambako hali ya usalama inazidi kuwa mbaya.

Wanajeshi hao 17,000 watapelekwa Afghanistan kabla ya uchaguzi mkuu wa Agosti 20 nchini humo.Wanajeshi hao wataimarisha vikosi vya wanajeshi 38,000 wa Kimarekani waliokuwepo Afghanistan kupambana na ugaidi unaoongezeka nchini humo. Rais Obama amesema,ameidhinisha hatua hiyo akitambua kuwa hali inayokutikana Afghanistan na Pakistan inahitaji kushughulikiwa na kuchukuliwa hatua ya dharura.Ni muhimu kutuliza hali inayozidi kuwa mbaya katika nchi iliyokosa kushughulikiwa kimkakati na kwa mwongozo wa dharura unaohitajika.Akaeleza kuwa uamuzi huo umepitishwa kufuatia ombi lililotolewa na Waziri wa Ulinzi Robert Gates kupeleka vikosi ziada kabla ya majira ya joto,ikihofiwa kuwa mashambulizi ya wanamgambo yatashika kasi uchaguzi ukikaribia.

Serikali ya Rais Hamid Karzai nchini Afghanistan inayoungwa mkono na Marekani,inazidi kushinikizwa huku wanamgambo wa Taliban na al-Qaeda wakizidi kuimarika na kuenea kutoka mashariki na kusini mwa nchi hadi sehemu za magharibi na hata ukingoni mwa mji mkuu Kabul.Hali ya usalama ikiwa bora huko Iraq,sasa Marekani inaipa Afghanistan kipaumbele na imepunguza majeshi yake nchini Irak.Obama ameonya kuwa Wataliban wameibuka upya nchini Afghanistan wakisaidiwa na al-Qaeda na hivyo kuhatarisha usalama wa majeshi ya Marekani mpakani na Pakistan.

Rais Obama alipoingia madarakani alitoa amri ya kuchunguzwa upya sera za Marekani katika kanda hiyo ambako uasi unaongezeka hata miaka saba baada ya Marekani kuanzisha vita vyake dhidi ya ugaidi na kuitimua serikali ya Taliban.Seneta John McCain aliekabiliana na Obama mwaka jana katika uchaguzi wa rais,ameunga mkono hatua ya kupeleka vikosi ziada.Wakati huo huo akasema,ni matumaini yake kuwa hiyo ni hatua ya kwanza tu katika utaratibu mpya utakaofuatwa kuhusu Afghanistan.Amesema,wakati umewadia kufuata mkondo mpya.

Kwa upande mwingine,Rais Obama alipozungumza kwa simu na Rais Karzai Jumanne usiku,alimuhakikishia msaada wa Marekani kupambana na ugaidi katika kanda hiyo. Hiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa marais hao wawili kuzungumza tangu Obama kuingia madarakani mwezi wa Januari.

Msanii Msondo ngomaafia kwenye daladala

Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wakiuangalia mwili wa marehemu Joseph Maina wa bendi ya Msondo ngoma kwenye daladala alikofia ghafla jana jjijni dare s Salaam ,baada ya kupanda daladala hilo linalofanya safari zake kati ya Mwenge Mikoroshini .Picha na Fidelis Felix


MWANAMUZIKI mahiri wa Msondo Ngoma, Joseph Maina amefariki ghafla jana asubuhi akiwa ndani ya daladala.

Dereva wa basi la daladala lenye namba za usajili T582 AFL linalofanyika safari kati ya Mwenge na Temeke Mikoroshoni, Kassim Salum aliiambia Mwananchi jana kwenye Hospitali ya Temeke
kuwa msanii huyo alifariki akiwa amekaa kiti cha mbele mlangoni.

"Unajua aliwahi kuingia, na sisi ilikuwa zamu yetu kupakia hapo Temeke Mikoroshoni, kulikuwa na abiria anataka kupanda, nilipomwambia asogee kiti cha kati, nikaona anakakamaa na muda mfupi akalala.

"Baada ya kuona hali ile, watu walijaa na niligeuza gari hadi kituo cha polisi Maghorofani, lakini na wao walinipa askari wakaniambia tuelekee hospitali ya Temeke," alisema Salum.

Hata hivyo, mwili wa Maina ulibakia kwenye kiti cha daladala kwa takriban saa nzima katika hospitali hiyo huku mashabiki na watu wengine wakielezea kumfahamu kama ni Maina.
Mwananchi ilifika hospitalini hapo na kukuta umati wa watu wakielezea masikitiko yao kutokana na kifo hicho.

Saa 7:11 mchana, kiongozi wa Msondo Ngoma, Muhidin Maalim Gurumo aliiwasili akifuatana na mpiga solo, Said Mabera, wacheza shoo na wanamuziki wengine.


Hata hivyo, wasimamizi wa chumba cha maiti walimruhusu Mabera kwenda kutambua mwili na aliporudi alithibitisha kuwa kweli ni Maina.

Gurumo alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na miguu na bendi walikuwa wakiandaa utaratibu wa kumtafutia matibabu.

"Kwa kweli ni pigo kubwa kwani Maina alishiriki katika nyimbo zote za Msondo, alishiriki albamu zote ni pigo kwa sasa hatuna la kusema tutatoa taarifa," alisema.

Maina ambaye ameacha mke na watoto wa wawili alitunga kibao kumuimbia mke wake, Mama Cossy ambacho hakijatoka.

Maina ameongeza pengo la wanamuziki wakali wa bendi hiyo waliofariki miaka ya karibuni, akiwemo TX Moshi William, Athumani Momba na Suleiman Mbwembwe.

Waarabu wapata wasiwasi kutokana na siasa ya Marekani kulegeza kamba kwa Iran kwa kuhofia kuwa na nguvu kwa Washia wa Iran kulinganisha na Wasuni.

Nchi za Kiarabu katika Ghuba zinaanza kuwa na wasiwasi kwamba mkaribiano wowote wa Marekani na Iran unaweza mwishowe ukapelekea kuweko shida upande wao. Shida hiyo ni kuwa na nchi jirani isiokuwa ya Kiarabu ya madhehebu ya Kiislamu ya Shia ilio na silaha za kinyukliya. Nchi za Kiarabu katika Guba zilizo za madhehebu ya Kiislamu ya Sunni zilikuwa hazijavutiwa sana na msimamo mkali wa Rais wa zamani George Bush juu ya Iran, zikihofu kwamba uhasama wa nchi mbili hizo unaweza ukatapakaa katika eneo hilo lote...

Lakini nchi hizo za Kiarabu pia zina wasiwasi juu ya uwezekano wa kuboreka maingiliano baina ya Marekani na Iran, jambo ambalo limeashiriwa na rais Barack Obama, na kwamba rais huyo wa Marekani huenda akaenda umbali wa kuregeza kamba kwa Iran ilio na nguvu katika eneo la Ghuba. Nchi za Kiarabu kwa muda mrefu zimeiangalia Iran kwa jicho la wasiwasi na hata uhasama. Mustafa Alani wa Kituo cha Utafiti wa matoeko katika Guba kilio na makao yake Dubai, anasema Waarabu hawayapingi mashauriano yanayoendelea baina ya Marekani na Iran. Kinyume na hivyo, nchi hizo za Kiarabu zinatia moyo kuweko mdahalo wa aina hiyo. Hata hivyo, alisema mtaalamu huyo, Waarabu wana wasiwasi mkubwa kwamba Wamarekani huenda wakaregeza kamba kwa Wa-Irani kwa kiwango ambacho kinaweza kuhatarisha usalama wa nchi za Kiarabu, kitu ambacho hawatakikubali.

Rais Barack Obama alishinda uchaguzi wa urais wa Marekani kwa kuahidi kuleta mabadiliko, na akamteuwa mwakilishi wa amani katika Mashariki ya Kati katika wiki ya mwanzo baada ya kuingia madarakani. Pia alisema yeye yuko tayari kuwa na mdahalo na Iran katika juhudi za hadharani za kuwanyoshea mkono wa amani Waislamu. Bwana Alani alisema matakwa yao ya kimsingi ni kwamba Marekani isiregeze kamba juu ya mpango wa kinyukliya wa Iran na kujiingiza nhi hiyo katika Iraq, Lebanon na Palastina. Alisema nchi za Kiarabu hazitaki kushtushwa tu, zinataka kuwa mshirika na maslahi yao yanahitaji yawakilishwe.

Nchi za Kiarabu katika Guba, ambazo zilionya dhidi ya uvamizi wa Marekani katika Iraq hapo mwaka 2003, sasa zina hofu kwamba kuondoka mapema majeshi ya Kimarekani kutoka nchi hiyo, kama ilivoahidiwa na Barack Obama, kutaiwachia nchi hiyo katika mikono ya wanasiasa wa Kishia walio washirika wa Iran na ambao wemedhibiti madaraka baada ya kuondoshwa madarakani Saadam Hussein. Nchi hizo za Kiarabu zina hofu kwamba serekali ya Marekani ambayo haitataka kuchukuwa hatua za kijeshi dhidi ya Iran itashindwa kuzizuwia tamaa za Iran za kutaka kuwa na mpango wake wa kinyukliya, na mwishowe kuwabakisha Waarabu wa madhehebu ya Sunni wakibanwa baina ya madola mawili ya kinyukliya- Iran na Israel.

Lakini nchi hizo za Kiarabu za Ghuba zinatafautiana juu ya namna ya kukabiliana na mtihani huu. Mgawanyiko ulionekana wakati wa wiki tatu za mashambulio ya Israel huko Ukanda wa Gaza ambayo yaliwauwa zaidi ya watu 1,300 na kuziweka Saudi Arabia, Misri na washirika wao upande mmoja na Qatar, Iran, Syria na washirika wao upande mwengine.

Wachunguzi wa mambo wanasema maendeleo katika mwenendo wa amani baina ya Waarabu na Israel yatasaidia kuyapunguza makali ya Wa-Irani ambao washirika wao huko Libanon na Gaza wamechomoza katika vita vya karibuni wakionewa huruma zaidi kutoka kwa Waarabu na Waislamu wa kawaida. Hasa, pindi kutapatikana muwafaka wa amani baina ya Israel na Israel, basi jambo hilo linaweza likawaondoa Wa-Syria kutoka kambi ya Wa-Irani na kuitenga nchi hiyo. Na uamuzi wa Barack Obama kumtuma kwa haraka mwakilishi wake hadi Mashariki ya Kati umekaribishwa, japokuwa inagojewa kuonekana kama ataweza kuisukuma Israel na Wapalastina waliogawanyika katika meza ya mashauriano.

Lakini haifikiriwi kwamba Barack Obama kuzungumza moja kwa moja na Wa-Irani kutabadilisha malengo ya kimbinu ya marekani. Marekani haiko tayari mara moja kuukubali ubwana wa Iran katika eneo la Ghuba au nchi hiyo kuwa na silaha za kinyukliya.

Selasa, 17 Februari 2009

Makazi ya rais yashambuliwa E Guinea


Sehemu ya kitongoji mji mkuu Malabo
Makazi ya Rais wa Equatorial Guinea yashambuliwa
Kundi la watu waliokuwa na silaha, wamefanya jaribio la kuyashambulia makazi ya rais katika mji mkuu wa Equatorial Guinea, Malabo.

Msemaji wa serikali Jeronimo Osa ameliambia shirika la habari la Hispania Efe kwa njia ya simu kwamba washambuliaji hao hatimaye walifurushwa.

Wizara ya mambo ya nje ya Hispania, nchi iliyowahi kuitawala Equatorial Guinea imesema serikali ya nchi hiyo imekanusha kuwa kulikuwa na jaribio la mapinduzi na kuwashutumu washambuliaji hao kwa kufanya uhalifu.

Rais Teodoro Obiang Nguema wa Equatorial Guinea hakuwepo katika makazi yake rasmi mjini Malabo wakati wa shambulio hilo.

Kwa miongo kadha nchi hiyo yenye utajiri wa mafuta imekuwa ikikabiliana na majaribio ya kuipindua.

Waziri mteule kizimbani Zimbabwe

Mwanasiasa wa Zimbabwe Roy Bennett amefikishwa mahakamani kwa tuhuma kadha, siku chache tangu chama MDC kijiunge na serikali ya kugawana madaraka.

Tuhuma dhidi ya mweka hazina wa chama cha Movement for Democratic Change (MDC) ni pamoja na ugaidi, kuvunja sheria za uhamiaji na kumiliki silaha kinyume cha sheria.

Chama cha MDC kimesema kukamatwa kwake ni sababu za kisiasa na kimetaka aachiliwe mara moja.

Wakati huo huo Rais Robert Mugabe na Waziri Mkuu Morgan Tsvangirai, wamehudhuria mkutano wa uzinduzi wa baraza jipya la mawaziri mjini Harare.

Radio ya taifa ya Zimbabwe imetangaza Rais Mugabe aliongoza kikao hicho cha baraza la mawaziri 32.

Mwandishi wa BBC Andrew Harding akiwa mjini Johanessburg Afrika Kusini, amesema suala la mashtaka dhidi ya Bwana Bennett lilichukua nafasi kubwa ya ajenda katika kikao hicho.

Chama cha MDC kinataka Bwana Bennett aachiliwe kutoka kizuizini pamoja na wafuasi zaidi ya 30 wa chama hicho waliokamatwa katika miezi ya hivi karibuni.

Kosovo yasherehekea uhuru wake leo bila ridhaa ya Serbia.

Mkoa wa zamani wa Yugoslavia wa Kosovo unaokaliwa na waalbania wengi,unaadhimisha hii leo mwaka tangu kujitangazia uhuru na hii licha ya onyo la Rais Fatmir Sejdu kuwa Serbia ingali inalipinga tangazo hilo la uhuru.

Ramadhan ali na ripoti zaidi:

Kosovo ndio mkoa wa mwisho wa Shirikisho lililosambaratika la Yugoslavia kujipatia uhuru wake.

Waziri mkuu wake Hashim Thaci akitoa tangazo hilo la uhuru siku kama leo mwaka uliopita alisema:

Sisi Wanaume na wanawake tuliojitoa mhanga kwa ajili ya kosovo,tunanadi tukiwa waakilishi waliochaguliwa wa umma kuwa Kosovo ni nchi huru na ya kidemokrasi."

Kosovo Taifa dogo kabisa katika Balkan ,ilijitenga na Jamhuri ya Serbia mwaka jana 2008,miaka 9 tangu kumalizika vile vita vya kati ya 1998-1999 kati ya majeshi ya Serbia na wapiganaji wa kialbania wa kosovo.

Rais wa kosovo, Sejdiu amesema, " Hamasa za vita vile pamoja na chuki zilizoambatana navyo ziko bado katika vichwa n a taasisi za Serbia."

Akaongeza rais wa Kosovo kwamba, sera hizo za machafuko zinazofuatwa na Belgrade haziwsaidii waserbia wala eneo la balkan.

Wabunge 80 kutoka bunge la waakilishi 250 wa Serbia pamoja na kiongozi wa kila kundi la vyama vinavyowakilishwa Bungenib walitangaza leo watakuwa na kikao katika eneo la waserbia la Kosovo katika mji wa Mitrovica-mji uliogawika kati ya wakazi wa kiserbia na kialbania.

Machafuko ya kikabila yaliripuka huko hapo desemba na ja nuari na polsi imeongeza ulinzi katika mji huo.

babara za mji wa Pristina zilifungwa huku maalfu ya watu wsakijiandaa kw asherehe za leo n a baadhi ya mikahawa imejitolea pombe ya bure.

Kwa upande mwengine, Serbia na mshirika wake mkubwa Urusi,zingali zikipinga uhuru wa Kosovo ingawa uhuru huo umetambuliwa na Marekani pamoja na washirika wake barani ulaya.

Jana, rais Boric Tadic wa Serbia aliliambia shirika la habari la reutzers kwamba nchi yake kamwe haitaitambua Kosovo kama nchi huru.

Baraza kuu la UM limeidhinisha ombi la Serbia la kuitaka Mahkama Kuu ya kimataifa kuchunguza iwapo tangazo la uhuru la kosovo ni halali au la.

Uchunguzi huo utadumu kati ya mwaka mmoja hadi miwili.

Vita kati ya kosovo na Serbia vilimalizika 1999 kufuatia hujuma kali ya mabomu ya vikosi vya shirika la ulinzi la NATO yalivifanya vikosi vya Serbia kuuhama mkoa huo wa kusini mwake.Miaka iliofuatia ,Kosovo ikageuka eneo lililolindwa kimataifa na kusimamiwa na vikosi vya NATO vya kuhifadhi amani.