Selasa, 05 Mei 2009

Russia kutengeneza baharini kinu cha kwanza cha nyuklia duniani kwa ajili ya kusambaza umeme kwa mataifa yanayoendelea.

Na Mwandishi wetu

Russia to install 4 floating nuclear plants in northeast Siberia

12:32

YAKUTSK, March 11 (RIA Novosti) - Four floating nuclear power plants will be installed in the northeastern Siberian republic of Yakutia under an agreement between the Federal Nuclear Power Agency and the local administration, local authorities said on Wednesday.

"The implementation of this project will make it possible to considerably reduce outlays on the delivery of fuel for the existing energy supply system, and raise the quality and reliability of energy provision, taking into account industrial development in northern Yakutia," the republic's presidential administration said.

The floating nuclear plants to be installed in four districts of Yakutia are intended to be put into service in 2013-2015, the administration said.

Investment in the project at the current stage is estimated at over 30 billion rubles ($838 million). Options are also being considered to involve private investors, the administration said.


First floating nuclear power plant to come into service in 2011

20:46 | 27/ 09/ 2007

MOSCOW, September 27 (RIA Novosti) - The world's first floating nuclear power plant will be commissioned in 2011 in Russia's Arctic, the governor of the Arkhangelsk Region said Thursday.

"The construction of the first such power unit with 70 MW capacity was started this year, and should be completed by 2010. The plant is most likely to operate in Severodvinsk [in Russia's Arkhangelsk Region]. Its launch is planned for 2011," Nikolai Kiselyov said.

"A floating NPP is a new product on the global market, and I hope it will be in demand," he said.

Russia started building the plant at the Arctic port of Severodvinsk in April, and is expected to build another six NPPs of its kind within a decade.

Earlier a Russian nuclear official said over 20 countries were interested in buying Russia's floating nuclear power plants. The NPPs are expected to be widely used in remote regions with power shortfalls, and also in the implementation of projects requiring stand-alone and uninterrupted electricity supplies in the absence of a developed power grid.

The second floating NPP could be built near the Russky Island in the Primorye Territory in Russia's Far East in 2011. The region may host an Asian-Pacific Economic Cooperation summit in August 2012. If Vladivostok does not host the summit, the NPP could be placed in Peveka, in the remote northeastern Chukotka Autonomous Area.

The first floating nuclear power plant will have capacity of 70 MW of electricity, and about 300 MW of thermal power.

The cost of the first plant is estimated at 10 billion rubles ($400 million), but could later be reduced to 6 billion rubles ($240 million).

Minggu, 03 Mei 2009

Ze kadiiiiiiiiiiz za CCM ...film rasmi inapatikana

tuma e-mail yako kupitia ccmmoscow@gmail.com nawe utatumia film rasmi ya siku ya ugawaji wa kadi tawi la Chama Cha Mapinduzi Moscow Russia

Tangazo

wanafunzi wafuatao wako hatarini kufukuzwa shule wiki hii kutokana na kutolipa ada ya Pango mwaka unaoelekea ukingoni. Taarifa zilizoifikia THE HOMCOM zinaonesha kuwa tayari PRIKAZI (vigavori) zimeshaandikwa na zinasuburia saini ya Msaidizi wa mkuu wa Chuo ambapo inatarajiwa kuwa zitasainiwa katikati ya wiki hii. THE THOMCOM inapenda kufahamisha kuwa ili kuepuka usumbufu wowote unaoweza kujitokeza, ni vizuri wanafunzi hao wafanye maarifa yoyote ya kupata fedha hizo ili wakalipe angalau mwanzoni mwa wiki hii.

Orodha ya wanafunzi walio hatarini kufukuzwa chuo hii hapa...

Блок

Группа

Кв. №

Ф.И.О

Курс

С/б №

Долг

1

ФС

109

М.П.М.С

0

1032084271

03,03,2009 - 15,09,2009

2

МЛ

210

Л.Ю.А

0

1032084528

15,10,2008 - 15,09,2009

2

ЭМ

453

Н.М.М.

0

1032084527

15,10,2008 - 15,09,2009

5

БТ

156

Н.Е.Н.

0

1032084515

15,10,2008 - 15,09,2009

5

БТ

166

П.Р.Ф.

0

1032084548

15,10,2009 - 15,09,2009

7

МЛ

118

М.К.Б.

0

1032084552

15,10,2008 - 15,09,2009

7

МЛ

118

М.А.Х.

0

1032084558

05,04,2009 - 15,09,2009

7

НК

356

Б.Д

1

1032055347

15,10,2008 - 15,09,2009

8

ИС

562

М.Б.

0

1032084566

15,10,2008 - 15,09,2009

9

ИА

1114

У.Д.Э

3

1032054490

01,03,2009 - 15,09,2009

10

ЭЭ

402

Н.П.Э

1

1032054457

15,10,2008 - 15,09,2009

11

ГМ

1101

З.С.Ж

0

1032084725

15,10,2008 - 15,09,2009

11

ГП

1604

Ч.С.С.

6

1032025008

26,03,2009 - 15,09,2009

13

МЛ

80

К.Р.М

0

1032084619

15,10,2008 - 15,09,2009

Sabtu, 02 Mei 2009

Yaliyojiri wiki hii.........

Mwana FM hoyeeeeeeee....no! mwana FA

siku sita zilizopita tumeshuhudia tukio ambalo halikutegemewa kwa msanii maarufu kabisa kusaini kitabu cha kumbukumbu kwa kuwaburudisha watanzania waishio Moscow Russia. Msanii huyo si mwingine bali niMwana FA, mwimbaji wa nyimbo zijulikanazo kama Bongo Fleva ambaye kwa sasa yupo masomoni UK. Tukio hilo limepata kugusa nyoyo za watanzania wengiwaishio Moscow Russia hasa wanafunzi wanaosoma chuo kikuu cha Urafiki Lumumba. baada ya Blog ya jamii THE THOMCOM kunasa matukio mbalimbali yanayoonesha ni jinsi gani mashabiki wa Mziki wa Bongo fleva hata wale wasio mashabiki walivyofurahishwa na jinsi msanii huyo alivyo-fanya mambo yake jukwaani hasa alipoimba ule wimbo wake unaosikika ka ' .......mbona miguu iko wazi unan.........basi mashabiki wooote waliinua mikono juu na kushangilia kwa hamasa na msisimko kama inavyoonekana kwenye picha hapa..

hapa mwana FA akiwa ndo kaanza tuu show yake mida ya saa nane usiku ambapo mashabiki wengi tayari wako stim, aliwanyanyua mashabiki hao mara tuu alipopanda jukwaani

Shukrani...


waandaaji wa show hiyo wanawashukuru watanzia woooote kwa jinsi walivyojitokeza na kumuunga mkono mchizi wao na wanaahidi kuendeleza juhudi zao kuhakikisha kuwa watanzaia wanapata burudani Moscow Russia

Kamis, 30 April 2009

PAKIA PAKUA YA MAKONTENA BANDARINI, PINDA ASEMA NI WIZI MTUPU......

Waziri Mkuu Pinda akiri Ticts imeshindwa kazi
Hatimaye Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amekiri kwa niaba ya serikali kuwa kampuni ya TICTS imeshindwa kazi n a kuwa mkataba wake unaangaliwa upya.

Na Hamid Hamad wa THE THOMCOM

HATIMAYE serikali sasa imeeleza bayana kuwa kampuni ya Ticts inayoendesha kitengo cha kupakua na kupakia makontena kwenye Bandari ya Dar es salaam imeshindwa kazi na sasa inapitia upya mkataba ulioipa kampuni hiyo haki peke.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema pia kuwa miongoni mwa mambo yanayofikiriwa ni kuufuta mkataba huo au kutafuta makampuni mengine na kuingia nayo mkataba wa kufanya kazi hiyo ili yaweke ushindani kwa Ticts na kuboresha huduma ya kitengo hicho kilichokuwa kiingizia Mamlaka ya Bandari (TPA) faida kubwa.

Waziri Pinda alitoa kauli hiyo jana Bungeni wakati akijibu swali la mbuge wa Tabora Mjini, Silaji Kaboyonga ambaye alitaka kujua serikali inafanya nini juu ya Ticts na kwanini isimalize mgogoro uliopo kwa manufaa ya taifa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo.

Pinda alisema kuwa anakerwa na huduma hiyo ambayo alisema kuwa

ni mbovu na haileti tija kwa Watanzania, ukilinganisha na huduma kama hiyo ambayo inatolewa katika nchi ya Ireland alikotembelea hivi karibuni.

“Unajua laizma tukubaliane kuwa tuliingia katika mkataba mbovu kabisa na watu Ticts ambao wanaonekana kuwa wameshindwa kabisa kutimiza majukumu yao kama tulivyotarajia hivyo mheshimiwa spika nalitaarifu bunge lako tukufu kuwa mkataba huo unapitiwa upya hivi sasa,” alisema Pinda.

Alisema kuwa bandarini kwa sasa hakuna ushindani kabisa ukilinganisha na bandari za nchi ningine ambazo zinakuwa na makumpuni zaidi ya tisa na kutoa mfano wa bandari ya Dublin iliyo nchini Ireland ambako alisema kuna makapuni mengi ambayo yanashindana kutoa huduma hiyo na hivyo kuongeza ufanisi.

Alisema katika kuangalia upya mkataba huo, ikionekana kuwa kuna umuhimu ni lazima kampuni hiyo ipelekwe mahakamani.

“Hapa suala halihitaji kuwa mwanasheria. Unaweza kuona kuwa kilichofanyika si sahihi hawa jamaa wamekiuka kanuni za mkataba hivyo naamini kuwa hata tukiwapeleka mahakamani bado serikali inaweza kushinda bila ya wasiwasi,” alisema Pinda.

Kiongozi huyo wa shughuli serikali bungeni alisema kuwa kama wataalamu wataona kuwa inafaa kuiachia kampuni hiyo iendelee na kazi yake kwa kipindi cha miaka 15 ijayo itakuwa ni vema, lakini akatahadharisha kuwa ni laizma kutakuwa na hasara kubwa mno.

Pamoja na kuupitia mkataba huo, Pinda pia alitaka miundombinu ya bandarini iboreshwe na kuweka mazingira kwa makampuni mengi zaidi ya kufanya kazi hiyo badala ya kutegemea kampuni moja ambayo inaonekana

kushindwa kufanya kazi yake.

Katika taarifa yake, mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zuberi Zitto alipendekeza kuangaliwa upya kwa mkataba huo na Waziri Pinda aliipongeza kamati hiyo kwa ufanisi mzuri katika kazi hiyo.

Ticts (Tanzania International Container Terminal Services), ambayo inamilikiwa kwa asilimia 75 na kampuni ya nje ya ICTS huku asilimia 25 zikimilikiwa na kampuni ya Vertex ya Tanzania, ilianzishwa baada ya ICTS kushinda zabuni ya mkataba wa miaka 10 wa kutoa huduma hiyo kwenye Bandari ya Dar es salaam mwaka 2000.

Ilikuwa ni miezi michache baada ya Ticts kuundwa Aprili mwaka 2000 kabla ya kushinda zabuni hiyo, na miaka mitano baada ya kufanya kazi hiyo, Ticts iliongezwa na kuwa wa miaka 25 kwa madai kuwa maagizo hayo yalitoka Ikulu.

Hata hivyo, Aprili 25 mwaka jana, Bunge lilipitisha uamuzi wa kuitaka serikali isitishe mkataba huo wa nyongeza ya miaka 15 katika mkataba wa awali wa miaka 10, kwa maelezo kuwa kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa Sheria ya Manunuzi ya Umma wakati wa uongezaji wa mkataba huo, jambo lililotafsiriwa kuwa kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Pia ilidaiwa kuwa mkataba huo uliongezwa wakati hali ya utendaji wa Ticts ikizidi kuwa mbovu na hivyo kudhihirisha kuwa kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Kwa wakati wote huduma katika kitengo hicho cha upakuaji na upakiaji makontena kwenye Bandari ya Dar es salaam zimekuwa zikilalamikiwa sana licha ya hatua kadhaa kuchukuliwa kujaribu kurekebisha hali hiyo.

Urusi yatoa pendekezo la kuandaa mkutano wa kutafuta amani Mashariki ya Kati.

Urusi yatoa pendekezo la kuandaa mkutano wa kutafuta amani Mashariki ya Kati.

Wanamgambo wa  Hamas katika ukanda wa  Gaza.
Wanamgambo wa Hamas katika ukanda wa Gaza.

Israel yatakiwa kuirejesha ardhi iliyoiteka mwaka 1967.

Pendekezo la Urusi la kutaka kuwa mwandalizi wa mkutano wa kutafuta kupatikana kwa amani katika eneo la mashariki ya kati limepata uungwaji mkono wa kimataifa na huenda na sasa mkutano huo huenda ukaandaliwa ifikiapo mwishoni mwa mwaka huu.

Urusi ambayo ni mwanachama wa pande zinazohusika na kupatikana kwa amani katika mashariki ya kati zikiwemo marekani , umoja wa mataifa na umoja wa Ulaya, kwa muda wa miaka minne sasa zimekuwa zikishinikiza kuandakliuwa kwa mkutano wa kimataifa kuhusu amani ya mashariki ya kati.

"Ninaamini mkutano huu utafanyika, na pia ninaamini kuwa utafanyika mwaka huu hata kama utakuwa mwezi mei, Juni au Oktaba" , alisema mpatanishi mkuu wa umoja wa ulaya Marc Otte.

Marekani na Israel zinaonekana kulionea haya pendekezo hilo la Urusi ambalo hata hivyo limekaribishwa na Palestina. Uhusiano mzuri kati ya urusi na palestina umeanza tangu wakati wa utawala wa kisovieti.

Kinyume na nchi za magharibi, urusi imekuwa na uhusiano na kundi la Hamas suala ambalo limezua maswali la ni nani atahudhuria mkutano huo ikiwa utaandaliwa nchini Urusi.

Israel mara nyingi inapinga mikutano ya kimataifa kutokana na hofu kuwa mkutano kama huo ni kama kuungana miongoni mwa nchi za kiarabu dhidi yake.

Lakini Urusi pia ina uhusiano mwema na Israeli na haitaki kuuuweka uhusiano huo kwenye hatari , pia haitaki kuiweka Israel katika hali mbaya, lakini ingetaka mkutano huo ufanyike.

Wiki iliyopita urusi ilimpongeza rais wa marekani Barack Obama baada ya kuwaalika viongozi kutoka Palestina na Israel kwenda katika Ikulu, mwaliko amabo unaonekana kuwa mwanzo wa mpango wa kutafuta amani katika mashahariki ya kati.

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.

Mfalme wa Jordan Abdullah wa pili pamoja na mfalme wa saudi Arabia Abdullah bin Abdul Aziz nao wameishinikiza marekani kushikiri vilivyo kwenye mpango huo wa kutafuta amani katika mashariki ya kati kulingana na shirika moja la habari la Saudi Arabia.

Mfalme wa Joran Abdullah wa pili alikutawa na mwenzake wa Saudi Arabia baada ya kurejea kutoka nchini marekanji alikofanya mkutano na rais wa marekani Barack Obama katika ikulu ambapo wote wawili walijadiliana masuala ya kimataifa likiwemo la mpango wa amani katika mashariki ya kati.

Katika mahojiano yaliyopeperushwa baada ya mkutano kwenye ikulu ,mfalme Abdullah wa pili aliitaka marekani kutangaza msimamo wake kabla waziri mkuu wa Israeli ,Benjan Netanyahu hajazuru marekani mwezi ujao.

Kati ya yale yanayohitajika kutimizwa kwenywe mpango huu ni pamoja na kusalimishwa kwa ardhi yote ya nchi za kiarabu iliyotekwa na Israel mwaka 1967 pamoja na ardhi ya palestina palestina ili Israeli iweze kutambuliwa na nchi za kiarabu kama taifa .

Hata hivyo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahbu amekataa kukubali pendekezo la kuitambua Israel kama taifa na anatarajiwa kutangaza sera zake kabla ya kufanya ziara nchini Marekani.

Mamia wajeruhiwa na mlipuko Tanzania

Zaidi ya watu 300 wangine wakiwa na majeraha makubwa, wanaendelea kutibiwa, siku moja baada ya milipuko ya mabomu kutokea nje Dar es Salaam nchini Tanzania.

Maofisa wa serikali wa nchi hiyo wanasema idadi ya watu waliokufa imeongezeka na kufikia watano na huenda ikaongezeka zaidi. Wanajeshi watatu inaarifiwa hawajulikani walipo.

Uchunguzi unaendelea wa kujua chanzo cha milipuko hiyo iliyotokea kando ya kambi ya jeshi kwenye ghala la silaha nje ya jiji la Dar es Salaam.

Mamia ya watoto ambao walikimbia kwa hofu eneo la Mbagala kwenye lenye ghala hilo la kuhifadhia silaha inaarifiwa hawajulikani walipo.

Rais Jakaya kikwete ametembelea eneo lilipotokea milipuko hiyo, siku moja baada ya kadhia hiyo iliyoleta hofu miongoni mwa wananchi wa Dar es Salaam wakifikiria kumetokea shambulio jingine la kigaidi kama lililotokea katika ubalozi wa Marekani mwaka 1998 jijini Dar es Salaam.

Mwandishi wa BBC Vicky Ntetema ametembelea kambi ya muda ya shirika la msalaba mwekundu nje ya jiji la Dar es Salaam maalum ya kuwaunganisha wazazi waliopotelewa na watoto wao.

Amesema vijana 250 walikuwepo katika kambi hiyo asubuhi ya Alhamisi na wachache bado hawajulikani.

Lakini wazazi wengi waliotembelea kambi wamesema watoto wao bado wajulikani walipo na kuna ripoti kwamba watoto 750 bado hawajaonekana.

Mashuhuda wamesema watoto kadha waliokuwa wamehamanika walizama katika mto ulifurika karibu na eneo la tukio.

Mabomu yaliyolipuka Mbagala ni yamaangamizi?

Askari wa Jeshi la Wananchi
Image
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wakiwa wamebeba moja ya mabaki ya mabomu yaliyolipuka jana katika kambi ya Jeshi, Mbagala Dar es Salaam.

Rabu, 29 April 2009

SIKUKUU YA MUUNGANO ILIYOFANYIKA HUKO MOSCOW RUSSIA, NO COMMENT....

Wadau wakijivinjari taratiiiiibu kabisa katika hafla hiyo ya kuadhimisha sikuku ya Muungano iliyofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa UPDK cultural centre. wa tatu toka kushoto ni Tedy Mwarabu aking'ara kabisha katika hafla hiyo...


Mikonooooooozzzzzzzzzzzzzzz................no comment...Huyo ndiye mzee wa kustarehe, papaa wa ku-spend...

Wadau wakijivinjari taratiiiiibu kabisa katika hafla hiyo ya kuadhimisha sikuku ya Muungano iliyofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa UPDK cultural centre. wa tatu toka kushoto ni mnenguaji hatari a.k.a Maria Internet.


Wazee wa Muungano wakiwa katika pozi. wa katikati ni mzee wa kutumia, mzee wa ku-spend, papaa starehe a.k.a Biboze akiwa na wadau katika sherehe hiyo iliyopata kufana sana.


Wazee wa Muungano wakiwa katika pozi. wa katikati ni mzee wa kutumia, mzee wa ku-spend, papaa starehe a.k.a Biboze akiwa na wadau katika sherehe hiyo iliyopata kufana sana.


Wanamichezo machachari toka chuo kikuu cha urafiki Lumumba Moscow Russia wakionesha ujuzi wao wa kuimba na kucheza. aliyeko katikati ni Maria Internet akiwakilisha...


Maria Internet akionekana kufurahishwaa sana na hali ya mambo ilivyokuwa ikiendelea wakati wakicheza mziki mmojawapo. wa kwanza kulia ni mrembo wa kikundi Ester a.k.a Easter akionesha majonjo

Mkuu wa utawala wa Ubalozi wa Tanzania Moscow (katikati) akiwa na wadau katika hafla hiyo ya Muungano.


Mkuu wa utawala wa Ubalozi wa Tanzania Moscow (katikati) akishiriki tosti, akiwa na wadau katika hafla hiyo ya Muungano.


Mkuu wa utawala wa Ubalozi wa Tanzania Moscow (katikati) akishiriki tosti, akiwa na wadau katika hafla hiyo ya Muungano.


Senin, 27 April 2009

wageni wooooote waishio Russia kuanzia mwanzo wa mwezi wa tano hadi tarehe 10/05 mnashauriwa kubakia majumbani

5 мая в Москве готовят "День мести"


10.4.2009 14:32
5 мая в Москве готовят "День мести"Фото: с сайта openspace.ru

Активисты "Русской воли" (националистическое объединение) распространили в Интернете сообщение о проведении 5 мая "Дня мести", сообщает Lenta.ru со ссылкой на "Московский комсомолец".

Они призывают отметить этот день убийствами иностранных граждан и поджогами зданий МВД, ФСБ, государственных учреждений и офисов "Единой России". Одновременно в информации даются советы, как избежать во время эксцессов возможного ареста. Акция призвана почтить память лидера объединения и главного редактора одноименного неонацистского журнала Максима Базылева, по кличке "Адольф".

Напомним, что в конце марта 2009 года задержанный по подозрению в нескольких убийствах Базылев совершил самоубийство в камере СИЗО. В августе 2008 года Самарский районный суд признал журнал "Русская воля" экстремистским. Закрыт сайт журнала.

Sabtu, 25 April 2009

Hali ni mbaya Sofia

Waziri mkuu wa Urusi Vladamir Putin auogomea mkutano wa mjini Sofia

Mkutano wa mjini Sofia unalenga kutafuta njia za kuhakikisha usafirishaji wa kutosha wa gesi barani Ulaya kufuatia mzozo wa gesi kati ya Urusi na Ukraine. Mzozo huo ulisababisha kupungua kwa kiwango cha gesi kinachosafirishwa barani Ulaya katikati ya msimu wa baridi mnamo mwezi Januari mwaka huu.

Watumaiji wa gesi, nchi ambazo gesi inapitia na nchi zinazosafirisha gesi zimejadiliana kuhusu njia ya kupiga jeki mipango ya kupanua vyanzo na njia za gesi barani Ulaya. Lakini uamuzi wa dakika ya mwisho wa waziri mkuu wa Urusi, Vladamir Putin, kutohudhuria mkutano wa mjini Sofia, kumekwamisha mjadala kuhusu mradi wa ujenzi wa bomba la gesi litakalosafirisha gesi ya Urusi hadi barani Ulaya kupitia chini ya bahari ya nyeusi, Black Sea.

Pia kukosekana kwa waziri mkuu wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, kwenye mazungumzo ya leo, kumetilia shaka mradi wa Umoja wa Ulaya wa ujenzi wa bomba la Nabucco, linalonuiwa kutumiwa kusafirishia gesi kutoka bahari ya Caspian hadi barani Ulaya kupitia nchini Uturuki, Bulgaria, Romania na Hungary bila kupitia nchini Urusi.

Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan

Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan

Wajumbe wa mkutano wa mjini Sofia wamelalamika kwamba miradi hiyo inakwamishwa na tofauti za kisiasa na kukosekana makubaliano juu ya udhamini na ugavi wa gesi. Wamewataka wahusika wakuu, hususan Umoja wa Ulaya, kutoa fedha zinazohitajika ili miradi hiyo iweze kuendelea kwa haraka.

Uturuki hivi karibuni imekosolewa kwa kulitumia bomba la Nabucco ili kuushika mateka Umoja wa Ulaya ikiutaka ulikubali ombi lake la kuwa mwanachama wa umoja huo kama fidia. Imeshutumiwa pia kwa kujaribu kuwa msafirishaji wa gesi barani Ulaya kwa kununua gesi kutoka nchini Azerbaijan na kuiuza tena kwa Umoja wa Ulaya.

Urusi imeongeza juhudi zake kuishawishi Azerbaijan kwa kuiahidi kununua kiwango kikubwa cha gesi yake. Mabomba ya Nabucco na bomba litakalopitia bahari nyeusi yatategemea gesi kutoka Mashariki ya Kati na eneo la Caspian. Urusi imekuwa kwa muda mrefu ikinunua gesi kutoka eneo hilo na kuiuza, lakini hakuna nchi hata moja kutoka muungano wa zamani wa Sovieti inayoiuzia gesi Urusi, iliyowahi kuuza gesi yake moja kwa moja barani Ulaya.

Mkurugenzi wa kampuni ya kusafirisha gesi ya Nabucco, Reinhard Mitschek, amesema ana matumaini kwamba licha ya waziri mkuu wa Uturuki kukosekana kwenye mkutano wa mjini Sofia, mazungumzo na Uturuki ni muhimu kwani yatasaidia kufikia hatua ya kusainiwa mkataba wa kimataifa kuhusu bomba la Nabucco kufikia mwezi Juni mwaka huu.

Mkutano mwingine kuhusu gesi

Mkutano wa mjini Sofia unafanyika sambamba na mkutano mwingine kuhusu nishati unaoendelea mjini Ashgabat, mji mkuu wa Turkmenistan. Marekani hii leo imetolea mwito Turkmenistan kupanua masoko yake ya nishati huku ikiwa na matumaini ya kupunguza ushawishi mkubwa wa Urusi katika taifa hilo la Asia ya Kati lenye utajiri mkubwa wa nishati.

George Albert Krol, naibu waziri wa mambo ya ndani wa Marekani

George Albert Krol, naibu waziri wa mambo ya ndani wa Marekani

Akizungumza kwenye mkutano wa mjini Ashgabat, naibu waziri wa mambo ya ndani wa Marekani, George Krol, amesema ushirikiano na Turkmenistan na mataifa mengine ya Asia ya Kati umepewa kipaumbele katika ajenda ya rais wa Marekani, Barack Obama. "Tunaunga mkono kwa dhati masoko ya nishati na njia za usafishaji katika mataifa ya Asia ya Kati na kati ya eneo hili na masoko ya kimataifa." Krol ameupongeza utawala wa Turkmenistan na kuileza nchi hiyo kuwa mfano bora wa sera ya kimataifa ya ulinzi wa nishati.

Rais wa Turkmenistan, Gurbanguly Berdymukhamedov, ambaye ameanza kuielekeza nchi yake katika mataifa ya magharibi tangu kifo cha mtangulizi wake mnamo mwaka 2006, amevikaribisha vivutio vya mataifa ya magharibi.

Matokeo rasmi ANC yashinda kwa kishindo

Na mwamdishi wetu, Johannesburg

Rais Kgalema Motlanthe akimpongeza kiongozi wa ANC Jacob Zuma
ANC yashinda uchaguzi licha ya kutopata wingi wa kura wa theluthi mbili
Matokeo rasmi ya mwisho yanaonesha chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini, kimeshinda uchaguzi mkuu lakini kimeshindwa kupata theluthi mbili ya kura kwa ajili ya kurekebisha katiba.

Kwa mujibu wa maofisa wa tume ya uchaguzi chama cha ANC kimezoa asilimia 65.9 kutokana na kura milioni 17, upande wa chama cha Democratic Alliance kina asilimia 16.6 ya kura huku chama cha Congress of the People (Cope) 7.42 kimejipatia asilimia 7.4.

Chama cha ANC hata hivyo kimepoteza jimbo la Western Cape ambalo limenyakuliwa na chama cha upinzani cha Democratic Allience.

Theluthi mbili ya kura ni muhimu katika bunge kwa ajili ya kubadilisha katiba.

Matokeo hayo yanatoa nafasi kwa kiongozi wa ANC Jacob Zuma kuwa rais mpya wa Afrika Kusini wakati bunge litakapokutana.

Wafuasi wa ANC wamekuwa katika sherehe nchi nzima huku wakisubiri matokeo rasmi kutangazwa.

Shirika la Fedha la Dunina kuipa Tanzania Sh340 bilioni

SHIRIKA la Fedha la Duninai (IMF), linatarajia kuipa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dola za Marekani 340 milioni (zaidi ya shilingi 340 bilioni), kwa ajili ya kukuza urari wa biashara (Balance of Payment).

Fedha hizo ambazo zitatumiwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kukuza urari huo zinatarajiwa kutolewa na IMF mwanzoni mwa mwezi wa Mei, mwaka huu zinalenga kukabiliana na makali ya mtikisiko wa kiuchumi.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo aliyeko Washington DC, Marekani jana, fedha hizo zitatumiwa na BoT, kuziba pengo ambalo litatokea katika akiba ya fedha ya taifa(Government Reserve).

“Fedha hizi zitasaidia Tanzania hasa katika kipindi hiki kigumu cha mtikisiko wa uchumi, kwani ilikadiriwa kuwa hadi kufikia Juni mwaka huu, Tanzania isingekuwa na uwezo wa kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi, kama vile madawa na chakula kutokana na kukosa fedha za kigeni,” alisema Waziri Mkulo.

Wakati huo huo, Mkulo alisema kuwa Benki ya Dunia (WB) imekubali kuipatia Tanzania dola za Marekani 970 milioni, kwa ajili ya kusaidia Bajeti ya Serikali kwenye maeneo ya kilimo, umwagiliaji na mradi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

“Kati ya fedha hizo dola 750 milioni zitatolewa katika kipindi cha fedha cha mwaka wa fedha 2009/2010,” alisema Mkulo.

Alisema mgawanyo wa fedha hizo utakuwa ni dola milioni 200 ni kwa ajili ya Bajeti ya Serikali, dola milioni 160 kilimo, ununuzi wa mbolea, mbegu bora na umwagiliaji. Dola milioni 30 zitakwenda kusaidia mradi wa TASAF.

Mkulo alisema athari za mtikisiko huo zinatarajiwa kuchukua kati ya mwaka mmoja na nusu hadi miwili.

“Katika kujinasua na msukosuko huo Tanzania imekubaliwa na Benki ya Dunia(WB) kukopa katika vyanzo vya kibiashara kama vile Benki ya Kimataifa ya Ujenzi na Maendeleo (International Bank for Reconstruction and Development-IBRD), alisema Mkulo.

Chenge awatoa chozi wabunge


2009-04-25 16:51:37

Mheshimiwa Andrew Chenge, mbunge wa CCM wa jimbo la Bariadi Magharibi, kidogo awatoe chozi waheshimiwa wenzake pale alipoamua kuweka wazi machungu aliyonayo moyoni kutokana na mikasa ambayo amekuwa akikumbana nayo.

Amesema mikasa yote hiyo anayoipata ni mitihani ya kidunia ambayo ameamua kumwachia Mwenyeji Mungu ambaye ndiye mweza wa yote.

Chenge hadi sasa anakabiliwa na kesi ya jinai ya kusababisha vifo vya wasichana wawili baada ya gari lake kuhusika na ajali iliyotokea hivi karibuni Jijini Dar es Salaam.

Licha ya hilo la ajali, pia aliwahi kupakaziwa uchawi ambapo alidaiwa kunyunyizia unga kwenye viti ndani ya Bunge.

Kana kwamba hiyo haitoshi, mheshimiwa huyo pia anadaiwa kujilimbikizia mihela katika akaunti nje ya nchi, sakata lililomfanya apoteze nafasi ya uwaziri.

Chenge, aliyekuwa Waziri wa Miundo Mbinu, alilazimika kuachia ngazi baada ya kukumbwa na kashfa hiyo.

Chenge alipata nafasi hiyo ya kuwaeleza wabunge kilicho moyoni, wakati aliposimama Bungeni kutoa maoni ya Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi kuhusiana na muswada wa Bima ambapo kabla ya kuhitimisha, aliwashukuru wabunge na wananchi ambao walimtumia salam za kumpa pole.

``Nawashukuru wabunge na wananchi wote walionitumia salam za pole, ninachoweza kusema ni kwamba yote namwachia Mungu,`` akasema Mbunge.

Mheshimiwa huyo akamalizia kwa kusema kuwa amelazimika kusema hayo kwa vile hiyo ni mara yake ya kwanza kusimama mbele ya Bunge hilo tukufu baada ya kukuktana na mitihani mbalimbali ya kidunia.

Baada ya kumalizia kutoa shukrani hizo, Mwenyekiti wa Bunge, Mhesimiwa Job Ndugai alimpa pole na kuongeza kuwa wabunge wote wapo pamoja naye.

Muswada huo ulipita kwa taabu baada ya wabunge kuibana Serikali kuhusiana na vifungu mbalimbali ikiwemo kinachompa uhuru Kamishna wa Bima kutoa muda usio na kikomo kwa kampuni ya bima ambayo itashindwa kumlipa mteja.

Msemaji wa kambi ya upinzani, Mheshimiwa Abubakary Hamis Bakari alisema kifungu hicho hakina tofauti na kile cha awali na kwamba kitaendelea kumnyanyasa mteja.

Hata hivyo, Naibu Waziri wa Fedha na Mambo ya Uchumi, Mheshimiwa Omari Yusuf Mzee aliendelea kung\'ang\'ania kifungu hicho akisema hakina madhara, hali iliyozua mvutano mkali Bungeni.

Hali hiyo ilimfanya Mheshimiwa Chenge kusimama tena na kutoa ufafanuzi kuwa Kamishna anapaswa kutoa muda usioziodi siku 45 (ambao umeainishwa katika sheria) kwa kampuni itakayoshindwa kumlipa mteja wake.

Kauli hiyo iliungwa mkono na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johnson Mwanyika.

Kutokana na ufafanuzi huo, Naibu Waziri alikubali kifungu hicho kibadilishwe.

Rabu, 22 April 2009

Hali ya aliyekuwa rais wa marekani George W. Bush yazidi kudorora

kwa maelezo zaidi soma hapa

WASHINGTON – No wasting time digging up the past? So much for that.

President Barack Obama said Tuesday that his attorney general would determine whether anyone from the Bush administration broke the law by crafting a legal rationale for drastic, demeaning interrogations of terror suspects. On the surface, it was a pragmatic call: Let the Justice Department lawyers check it out.

Trouble is, the White House had been sending the opposite signal for days. Obama tried last week to close a dark chapter, not open a messy one, as he made public the memos detailing the brutal interrogation methods. Nothing, he said, is gained by "spending our time and energy laying blame for the past."

In a flash, the story was not Obama's decision, but whether he had changed his position. The White House said no, but struggled to explain why not.

So what happened?

Outside forces, some muddled communication within a tight-ship White House, and a president determined to try to get the debate back on his terms.

Obama also gave Congress a piece of advice: If you are going to order a full looking-back investigation of Bush-era interrogation policies, give it to independent people who are "above reproach and have credibility." He contrasted that to Congress' own hearing process "that can sometimes break down."

The decision itself to release the memos weighed on Obama; he calls it one of the tougher ones he's had to make, which is saying something considering he's widened the war in the Afghanistan-Pakistan frontier, ordered deadly force to halt the hijacking of U.S. sea captain and grappled with a crippling recession.

Yet the tricky part is still going on.

He is out to find just the right balance — hold those accountable who may have broken the law but do nothing to encourage the kind of partisan, perfect-for-television investigatory hearings on Capitol Hill that could steal time and attention away from his agenda.

The turn of events also underscored that even a powerful president doesn't have control of all the events.

He released the memos last Thursday en route to Latin America and the Caribbean and quickly followed up with a reassuring stop at CIA headquarters Monday soon after he got back. Both went smoothly. But in between, criticism from the left and right built, and the White House message got a little murky.

White House chief of staff Rahm Emanuel said over the weekend the administration did not support prosecutions for "those who devised policy." Aides later said he was referring to CIA superiors who ordered the interrogations, not the Justice Department officials who wrote the legal memos allowing them.

Then came Obama's comments Tuesday when a reporter asked him if he backed prosecution for those who devised the interrogation policy. He had already shot down the idea of prosecuting any of the CIA agents who carried out the interrogations on grounds they were following the law at the time.

"With respect to those who formulated those legal decisions, I would say that that is going to be more of a decision for the attorney general, within the parameters of various laws, and I don't want to prejudge that," Obama said.

It immediately seemed like a huge, surprising opening.

Which is exactly what some of the liberal and human rights groups that helped get Obama elected want.

MoveOn.org, an influential advocacy group with millions of grass-roots advocates, has launched a petition drive to get Attorney General Eric Holder to investigate what it calls "the architects of Bush's torture program." When asked if Obama was giving into pressure from the left, White House press secretary Robert Gibbs said, "I doubt the president has been on MoveOn.org in the last 24 hours. So, no."

It was also unclear exactly whom Obama was talking about in opening the door to potential prosecutions. Just the lawyers who formulated those "legal decisions" to allow simulated drowning, physical violence and other grim tactics? Or the people who actually ordered those policies to be put in place?

"You know, I obviously — without parsing that, I don't know the answer to that," Gibbs said.

Critics say the methods outlined in the Justice memos are torture. Obama said they revealed "us losing our moral bearings."

What was clear is that Obama wants any investigation to be methodical and productive, not politically distracting or vindictive.

And after getting assailed by former Vice President Dick Cheney and other Republicans for, in their view, undermining national security and tipping off the enemy, Obama mounted a blunt defense to reporters, even though he wasn't directly asked about that point.

"I wake up every day thinking about how to keep the American people safe, and I go to bed every night worrying about keeping the American people safe," Obama said, sounding remarkably like the man who was in office during the controversial interrogations, George W. Bush.

"I've got a lot of other things on my plate," Obama said. "I've got a big banking crisis, and I've got unemployment numbers that are very high, and we've got an auto industry that needs work. ... But the thing that I consider my most profound obligation is keeping the American people safe."

Critics of Obama's decisions on the matter said they knew more investigations were coming.

As Michael Hayden, the CIA chief under Bush, put it over the weekend: "Oh, God no, it's not the end of it."

Selasa, 21 April 2009

Tanzania yawakilishwa vilivyo katika Maonesho ya 13 ya Africa chuo kikuu cha Urafiki Lumumba - Moscow Russia

Uongozi wa Umoja wa wanafunzi wa Tanzania Chuo kikuu Lumumba wakiwa katika maonesho hayo ya 13 ya wiki ya Africa. Anayetoa huduma ni Mwenyekiti wa Umoja wa wanafunzi.
Balozi wa Tanzania Capt. Mstaafu Jaka Mwambi (katikati) akiwa mmoja wa washiriki wa maonesho ya 13 ya wiki ya Africa yaliyofanyika katika kumbi za ndani za Chuo kikuu cha Urafiki Lumumba Moscow Russia


Balozi wa Tanzania Capt. Mstaafu Jaka Mwambi (katikati) akiwa mmoja wa washiriki wa maonesho ya 13 ya wiki ya Africa yaliyofanyika katika kumbi za ndani za Chuo kikuu cha Urafiki Lumumba Moscow Russia

Mojawapo ya banda la washiriki wakiwa wamevutiwa sana na twiga wa kitanzania..

Mabalozi zaidi ya 34 wanaowakilisha nchi zao Russia wakiwa katika conference wakati wa maonesho ya wiki ya 13 ya Africa
















Mabalozi toka nchi 34 waliwakilisha nchi zao katika conference wakati wa maonesho ya 13 ya wiki ya Africa yaliyofanyika Moscow Russia