siku sita zilizopita tumeshuhudia tukio ambalo halikutegemewa kwa msanii maarufu kabisa kusaini kitabu cha kumbukumbu kwa kuwaburudisha watanzania waishio Moscow Russia. Msanii huyo si mwingine bali niMwana FA, mwimbaji wa nyimbo zijulikanazo kama Bongo Fleva ambaye kwa sasa yupo masomoni UK. Tukio hilo limepata kugusa nyoyo za watanzania wengiwaishio Moscow Russia hasa wanafunzi wanaosoma chuo kikuu cha Urafiki Lumumba. baada ya Blog ya jamii THE THOMCOM kunasa matukio mbalimbali yanayoonesha ni jinsi gani mashabiki wa Mziki wa Bongo fleva hata wale wasio mashabiki walivyofurahishwa na jinsi msanii huyo alivyo-fanya mambo yake jukwaani hasa alipoimba ule wimbo wake unaosikika ka ' .......mbona miguu iko wazi unan.........basi mashabiki wooote waliinua mikono juu na kushangilia kwa hamasa na msisimko kama inavyoonekana kwenye picha hapa..
Sabtu, 02 Mei 2009
Yaliyojiri wiki hii.........
siku sita zilizopita tumeshuhudia tukio ambalo halikutegemewa kwa msanii maarufu kabisa kusaini kitabu cha kumbukumbu kwa kuwaburudisha watanzania waishio Moscow Russia. Msanii huyo si mwingine bali niMwana FA, mwimbaji wa nyimbo zijulikanazo kama Bongo Fleva ambaye kwa sasa yupo masomoni UK. Tukio hilo limepata kugusa nyoyo za watanzania wengiwaishio Moscow Russia hasa wanafunzi wanaosoma chuo kikuu cha Urafiki Lumumba. baada ya Blog ya jamii THE THOMCOM kunasa matukio mbalimbali yanayoonesha ni jinsi gani mashabiki wa Mziki wa Bongo fleva hata wale wasio mashabiki walivyofurahishwa na jinsi msanii huyo alivyo-fanya mambo yake jukwaani hasa alipoimba ule wimbo wake unaosikika ka ' .......mbona miguu iko wazi unan.........basi mashabiki wooote waliinua mikono juu na kushangilia kwa hamasa na msisimko kama inavyoonekana kwenye picha hapa..
Langganan:
Posting Komentar (Atom)
Tidak ada komentar:
Posting Komentar