Selasa, 17 Februari 2009

pongezi JK kwa kuifufua TTCL...

Serikali imechukua hatua za kuifufua Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ikiwa ni pamoja na kuipa dhamana kuiwezesha kukopa fedha za kujiendesha kutoka taasisi za fedha nchini.

Pia imeamua kuwa kampuni hiyo ndiyo itakayosimamia matumizi ya Mkongo wa Taifa ambao unalenga kuboresha matumizi ya teknolojia katika uchumi na maendeleo ya jumla ya Tanzania.

Mkongo wa Taifa, ambao utajengwa kwa fedha za mkopo kutoka Jamhuri ya Watu wa China, ikiwa ni moja ya mafanikio ya ziara ya siku tatu ya Rais wa nchi hiyo, Hu Jintao, ambaye aliondoka nchini juzi, utagharimu dola milioni 180 za Marekani.

Uamuzi huo ulifikiwa leo katika mkutano kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia na mashirika yaliyoko chini ya wizara hiyo, Ikulu, Dar es Salaam. Mkutano huo ni mfululizo wa mikutano kati ya Rais na wizara na mashirika yaliyoko chini ya wizara hizo, inayolenga kutathmini utendaji wa serikali katika miaka mitatu iliyopita.

Kwenye mkutano huo wa leo, ilielekezwa kiundwe kikosikazi cha kuharakisha ujenzi wa mkongo huo, kujadili na kutoa mapendekezo jinsi utakavyotumika kunufaisha uchumi na hivyo kutumika katika maendeleo ya jumla nchini.

Katika mkutano huo uliozungumzia masuala mbalimbali, vilevile serikali imekubali kubeba madeni yote ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), ili kuliwezesha kujiendesha kwa kukopa fedha kutoka taasisi za fedha, ikiwa ni moja ya hatua za kupambana na changamoto za ushindani katika dunia ya sasa ya teknolojia mpya.

Kuhusu Shirika la Posta, mkutano ulielezwa jitihada za serikali katika kulisaidia kwa kusafisha hesabu zake kwa kuchukua dhamana ya madeni yaliyokuwa yanalikabili. Serikali ndiye mmiliki mkubwa zaidi wa hisa za shirika hilo, kwa kuwa na asilimia 41.

Kuhusu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), walikubaliana kuwa ipo haja ya kuharakisha utungwaji wa sheria ya kusimamia na kudhibiti matumizi ya simu za mkononi na intaneti, na pia kufunga mitambo ya kukomesha wizi wa simu za mkononi.

“Lazima tujenge nidhamu haraka katika matumizi ya simu na intaneti … si huduma hizo kutumika kutukanana … kwamba kila mtu mwenye mtu wa kumtukana, basi kila akiamka asubuhi, kazi yake ni kumtukana mtu huyo kwa kutumia simu ama intaneti,” alisema Kikwete. Wakati huohuo, kupitia mkutano huo, ilikubaliwa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) iongezwe bajeti ya kufanya utafiti mbalimbali nchini, bajeti ambayo kwa sasa ni ndogo, asilimia 0.3 ya bajeti nzima ya serikali ya kila mwaka.

Mchungaji wa Pentekoste akamatwa na viungo vya albino Mbeya

Mchungaji wa Kanisa la Pentecoste lililopo Idiwili Kata ya Iyula, wilayani Mbozi anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kukutwa na mabaki ya mwili wa binadamu yaliyokuwa yakiuzwa Sh milioni 30.

Cosmas Mwasenga (39) alikamatwa Februari 13 mwaka huu akiwa na Luseshelo Mwashilindi ambaye inadaiwa alikuwa ameyahifadhi nyumbani kwake mabaki hayo. Mabaki hayo ambayo Polisi inahisi kuwa ni ya albino, ni vipande vinne vinavyosadikiwa kuwa sehemu ya mikono.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Zelothe Stephen alisema leo kuwa watuhumiwa hao walikamatwa katika eneo la Mlowo, Mbozi. Akizungumzia tukio hilo, Kamanda Zelothe alisema Februari 12 mwaka huu, polisi walipata taarifa kuwa kuna kikundi cha watu Mlowo, wana vipande vya mabaki ya mwili wa mwanadamu vinavyosadikiwa kuwa ni mabaki ya mwili wa albino.

Alisema taarifa hizo zilidai kuwa kikundi hicho kilikuwa kinatafuta wateja ili kuwauzia vipande hivyo na kwamba watu waliokuwa wanatafuta wateja waligawanyika katika Wilaya ya Mbozi na baadhi ya mitaa ya Jiji la Mbeya.

“Tuliweka mtego na kukutana na watu hao ambao walisema wanauza viungo vya ‘kunguru mweupe’ wakimaanisha albino, ambapo walikubaliana na kukutana na Mwashilindi ambaye alikuwa anahifadhi viungo na kufikia makubaliano ya kuvinunua kwa Sh milioni 30,” alisema.

Alisema Februari 13, taratibu za kupata kiasi hicho cha fedha zilikamilika na walipofika kwa Mwashilindi alitoka akiwa na vipande vinne vya mabaki ya binadamu vikiwa vimefungwa katika karatasi, na Polisi wakamkamata. “Baada ya kupekua katika nyumba ya Mwashilindi tulifanikiwa kupata dawa za binadamu, maji ya kuchanganya na dawa na koti jeusi mali ya Mchungaji Mwasenga,” alisema.

Aliongeza kuwa watuhumiwa wote wawili wanashikiliwa na watafikishwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika. Kamanda Zelothe alisisitiza umuhimu wa wananchi kutoa taarifa Polisi na kusema kwa kufanya hivyo, ndipo vitendo vya mauaji ya albino vitapungua. “Tunapenda kuwaomba wananchi waendelee kutoa taarifa za siri kwa viongozi wa juu, ili ziweze kufanyiwa kazi haraka,” alisema.

Senin, 16 Februari 2009

SIASA ZA MAREKANI HAZITABADILIKA HATA PAPA AWE RAIS WA MAREKANI. HII NI KUTOKANA NA MUUNDO WA MADARAKA.. UNGANA NA THE THOMCOM KUJUA MUUNDO HUO....

THE THOMCOM ITAKULETEA MFUMO WA UONGOZI WA MAREKANI KUANZIA BARAZA LA SENATE HADI LOWER HOUSE, NA VYOMBO VYOTE VYA KUTUNGA SHERIA. FUATANA NA THE THOMCOM KATIKA KUJUA NINI MAANA YA SENATE, HOUSE OF REPRESANTATION NA GOVERNERS.

United States Senate


The United States Senate is the upper house of the bicameral United States Congress, the lower house being the House of Representatives. The composition and powers of the Senate and the House are established in Article One of the Constitution (which does not use the terms "upper" and "lower"). Each U.S state is represented by two senators, regardless of population. This ensures equal representation of each state in the Senate. U.S. Senators serve staggered six-year terms. The chamber of the United States Senate is located in the north wing of the Capitol building, in Washington, D.C., the national capital. The House of Representatives convenes in the south wing of the same building.

The Senate has several exclusive powers not granted to the House, including consenting to treaties as a precondition to their ratification and consenting or confirmation of appointments of Cabinet secretaries, federal judges, other federal executive officials, military officers and other federal uniformed officers. The Senate is a more deliberative body than the House of Representatives because the Senate is smaller and its members serve longer terms, allowing for a more collegial and less partisan atmosphere that is somewhat more insulated from public opinion than the House. The Senate is considered a more prestigious body than the House of Representatives, due to its longer terms, smaller membership and larger constituencies.

History

The Framers of the Constitution created a bicameral Congress out of a desire to have two houses to be accountable to each other. One house was intended to be a "people's house" that would be sensitive to public opinion. The other house was intended to represent the states. It was to be a more deliberate forum of 'elite wisdom' where six-year terms insulated the senators from public opinion. The Constitution provides that the approval of both chambers is necessary for the passage of legislation.

The Senate of the United States was formed on the example of the ancient Roman Senate. The name derives from the senatus, Latin for council of elders (from senex meaning old man in Latin).

The Constitution stipulates that no constitutional amendment may be created to deprive a state of its equal suffrage in the Senate without that state's consent. The District of Columbia and territories are not entitled to any representation. With 50 states in the Union since 1959, the Senate has currently 100 seats. (At the start of the first session of the 111th Congress, however, only 98 members were seated, due to the Rod Blagojevich scandal in Illinois and the disputed election in Minnesota.)


ITAENDELEA KESHO.......



.......................

THIS IS THE US CHAMBER OF THE LOWER HOUSE

Rais China amwaga mabilioni Dar

Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake, Rais Hu Jintao wakifungua pazia kuashiria kuuzindua rasmi Uwanja wa taifa jijini Dar es salaam uliojengwa kwa msaada wa Serikali ya China.
AONGEZA NAFASI ZA MASOMO KWA VIJANA

Exuper Kachenje na mashirika ya habari

WAKATI mgogoro wa kiuchumi ukiyasumbua mataifa makubwa na madogo duniani, Rais Hu Jintao wa China amesema nchi yake itaimarisha mawasiliano na ushirikiano wa karibu na Tanzania na nchi nyingine za Afrika, kwa lengo la kupunguza athari za mgogoro huo, huku akitangaza msaada wa kifedha, kielimu.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete, Rais Hu, ambaye uchumi wa taifa lake unakua kwa kasi tofauti na uchumi wa mataifa ya Magharibi, aliitoa hofu Tanzania dhidi ya mgogoro huo wa kifedha na kiuchumi unaoisumbua dunia kwa sasa.

"China inapenda kuwaeleza kuwa itaimarisha mawasiliano na uratibu na Tanzania na mataifa mengine ya Afrika kwa mwelekeo wa kupunguza athari za mgogoro huo wa kiuchumi," alisema.

Jintao alisema taifa lake litachukua mtazamo mpana, wenye uwiano, endelevu na unaotekelezeka katika kuweza kubadilisha mfumo wa fedha wa kimataifa, ikiwa ni pamoja na kuongeza uwakilishi wa mataifa ya kiafrika na yale yanayoendelea pamoja na sauti zao katika mabadiliko hayo.

"China itatekeleza ahadi yake ya kutopunguza msaada wake kwa Afrika na kuishawishi jumuiya ya kimataifa kuheshimu ahadi zao kwa bara hili,"alisema Jintao akirejea mwelekeo wa mataifa mengi makubwa, kufikiria kupunguza misaada yao kwa nchi zinazoendelea kutokana na matatizo makubwa ya kiuchumi yaliyozikumba nchi hizo.

Mbali na mataifa hayo kufikiria kupunguza misaada yao kwa nchi changa, miradi mingi ya uwekezaji inaweza kupungua kutokana na msukosuko wa kifedha, hali kadhalika kupungua kwa idadi ya watalii ambao huziingizia nchi changa, hasa za Afrika mashariki fedha nyingi.

Lakini Jintao alisema matatizo hayo hayataifanya China ifikirie upya uhusiano wake na nchi hizo na badala yake itaendeleza mikakati yake barani Afrika na kutimiza ahadi zake.

Rais Jintao alikabidhi msaada wa Yuan 150 milioni sawa na zaidi ya Sh28 bilioni kusaidia Tanzania wakati huu ambao nchi mbalimbali duniani zimekumbwa na tatizo la kuyumba kwa uchumi.

Katika sherehe, iliyopambwa na matarumbeta, Rais Jintao aliahidi Yuan 120 milioni kwa ajili ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Yuan 30 milioni kwa ajili ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ).

Rais Jintao alitia saini mikataba ya kiuchumi na Rais Kikwete, ukiwamo ule wa Tanzania na benki kubwa ya Exima ya China utakaotoa mikopo kwa miradi ambayo bado haijawekwa wazi.

Zaidi ya kampuni kubwa 40 zimewekeza Tanzania. Kwa mwaka 2007 peke yake, biashara kati ya mataifa hayo mawili ilikuwa kwa asilimia 48 na kufikia Dola 800 milioni za Kimarekani (sawa na karibu Sh1 trilioni).

Katika miaka ya sabini, China ilisaidia ujenzi wa reli inayoziunganisha Tanzania na Zambia. Hivi karibuni ilijenga uwanja wa kimataifa wa michezo wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 60,000 waliokaa, ukiwa umegharimu zaidi ya Sh53 bilioni. Rais Jintao alizindua uwanja huo jana na umepewa jina la Uwanja wa Taifa.

Tanzania ni miongoni mwa mataifa yanayofaidika sana na misaada ya China na mataifa hayo yana uhusiano wa kidiplomasia tangu mwaka 1964. Mwaka jana Tanzania ilikuwa taifa pekee lililokuwa mwenyeji wa mwenge wa Olimpiki kabla ya Michezo ya Olimpiki iliyofanyika Beijing.

Awali Jintao alisema kwamba mbali ya mabadiliko yanayoikumba dunia katika nyanja mbalimbali, uhusiano na urafiki baina ya nchi hizo ulioanzishwa mwaka 1964, umeendelea kukua na kuneemeka.

Aliongeza kuwa uhusiano huo wa dhati na wa kujivunia unaonyesha mfano wa mshikamano na ushirikiano kati ya China na bara la Afrika na kati ya nchi mbili hizo katika nyanja mbalimbali.

Naye Rais Jakaya Kikwete alisema Tanzania na China zimenufaika kutokana na uhusiano baina ya nchi hizo, ulioanzishwa na viongozi watangulizi na kwamba, Tanzania itaendeleza uhusiano huo wa kipekee na China ili kujenga mshikamano zaidi.

Katika mazungumzo hayo yaliyochukua saa moja Ikulu, Rais Jintao alisema China na Tanzania zimeonyesha mtazamo mpya katika miaka ya karibuni, hasa kwenye kuaminiana kisiasa na ushirikiano katika viwanda, biashara na utamaduni na kwamba ipo haja ya kuongeza nguvu ya ushirikiano katika nyanja hizo, elimu pamoja na afya .

Akiwa katika ziara yake ya kwanza ya kiserikali nchini Tanzania Rais, Hu Jintao alipigiwa mizinga 21 kabla ya kukagua gwaride lililoandaliwa maalumu kwa ajili yake na vikosi vya ulinzi na usalama, pamoja na kuangalia ngoma za kiasili katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.

Ikiwa ni ziara yake ya pili barani Afrika, rais huyo alitaja mambo mbalimbali yatakayokuza ushirikiano kati ya China na bara hilo kuwa ni pamoja na kupunguza ushuru na kodi, kuzipunguzia madeni nchi za Afrika na kuziongezea misaada nchi za Afrika katika miaka mitatu ijayo

Alibainisha kuwa nchi yake itawaalika vijana wa Kitanzania kutembelea nchi yake na kwamba, itaongeza nafasi za masomo (scolarship) kwa vijana wa Tanzania. Rais Kikwete aliishukuru China kwa misaada yake katika nyanja mbalimbali ikiwemo miundombinu.

Alisema kuwa Tanzania inapenda kufanya kazi na China ili kudumisha uhusiano uliopo na kwamba, itaendelea kuiunga mkono nchi hiyo katika sera na juhudi zake za kuheshimu mipaka.

Baada ya mkutano baina ya viongozi hao mikataba mbalimbali imetiwa saini kati ya nchi hizo ambapo pia Jumamosi baada ya kuwasili nchini, Rais Hu Jintao alikutana na Rais Amani Abeid Karume na kuzungumza naye.

Katika mazungumzo hayo, Rais Hu alisema nchi yake itaimarisha na kuongeza kiwango cha ushirikiano wa kibiashara baina ya China na Zanzibar ili kukuza uchumi wa Zanzibar.

Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake, Rais Hu Jintao wakifungua pazia kuashiria kuuzindua rasmi Uwanja wa taifa jijini Dar es salaam uliojengwa kwa msaada wa Serikali ya China.

CLINTON AFANYA ZIARA YAKE YA KWANZA JAPAN....

TOKYO -- Secretary of State Hillary Rodham Clinton, on her first trip abroad as President Barack Obama's chief diplomat, arrived in Tokyo with a warning to North Korea that it needs to live up to its commitments to dismantle its nuclear programs.

"The North Koreans have already agreed to dismantling," she said. "We expect them to fulfill the obligations that they entered into." During the now-stalled "six-party talks," Pyongyang agreed to stop its weapons work in exchange for economic and other incentives.

Clinton made the comments en route to Asia for meetings with leaders of Japan, China, South Korea and Indonesia. She arrived in Tokyo Monday evening.

On Monday, the 67th birthday of leader Kim Jong Il, North Korea claimed it has the right to "space development" -- a term it has used in the past to disguise a missile test as a satellite launch.

Pyongyang's official Korean Central News Agency accused the United States and other countries of trying to block the country's "peaceful scientific research" by linking it to a long-range missile test.

Last week, Clinton warned North Korea against any "provocative action and unhelpful rhetoric."

During her plane trip, she implicitly criticized the Bush administration for abandoning the so-called 1994 Agreed Framework with North Korea, reached during President Bill Clinton's first term in the White House, which called for the North to give up its plutonium-based weapons program.

The framework collapsed when the Bush team accused Pyongyang of maintaining a separate highly enriched uranium program, about which Secretary Clinton said there was still great debate. As a result, she said, the North had restarted and accelerated its plutonium program, allowing it to build a nuclear device that it had detonated in 2006.

Clinton said one goal of her trip was to demonstrate a new U.S. commitment to work with Asian leaders on "problems that no one nation, including ours, can deal with alone."

The administration's goal, she said, is to push climate change and the global financial crisis to or near the top of the agenda. Ongoing issues like North Korea's nuclear programs and human rights in China will remain priorities, she added.

"This region is indispensable to our efforts to seize the opportunities and meet the challenges of the 21st century," Clinton told reporters aboard her plane before a refueling stop in Alaska.

In Tokyo, Clinton will try to reassure a jittery nation of the importance the United States places on ties with Japan and will sign an agreement to move about 8,000 of the 50,000 Marines on the island of Okinawa to the U.S. Pacific territory of Guam.

In a nod toward Japan's role in international affairs, Clinton is also expected to announce that she will send the special U.S. envoy for Pakistan and Afghanistan to a Japanese-hosted donors conference for Pakistan.

Clinton is also promising to meet with the families of Japanese citizens kidnapped by North Korea in the 1970s and 1980s. "We do want to press the North Koreans to be more forthcoming with information," she said.

In Indonesia, Clinton will stress a new U.S. willingness to engage with Southeast Asian nations, many of which felt neglected by the Bush administration.

She is expected to announce in Jakarta that she will attend the annual meeting of foreign ministers from the Association of Southeast Asian Nations (ASEAN) in Thailand later this year. She is also expected to signal the administration's intention to sign the group's Treaty of Amity and Cooperation, which Bush had declined to do.

On her final stop, in China, Clinton's agenda will encompass the full sweep of the economic crisis, global warming, clean energy, North Korea and health issues. Human rights groups have expressed concern that their issue has been relegated to the sidelines by the Obama administration.

"We're not going to be shying away from talking about human rights issues, but we have a very broad agenda to deal with when it comes to dealing with China," Clinton said. "It's fair to say that this first trip will be one intended to really find a path forward to have as robust an engagement as possible on a range of issues."

TIMU YA TANZANIA YA MOSCOW RUSSIA YATINGA NUSU FAINALI KATIKA KOMBE LA AFRICA LA MAJIRA YA BARIDI....

TIMU YA TANZANIA MOSCOW IMETINGA NUSU FAINALI BAADA YA KUISAMBARATISHA GHANA KWA MIKWAJU YA PELNATI.AKIRIPOTI TOKA VIWANJA VYA NDANI CHUO KIKUU LUMUMBA, MWANAMICHEZO WETU TABU MASUMBUKO AMERIPOTI KUWA HADI KIPENGA CHA MWISHO KINALIA, HAKUNA TIBU ILIYOKUWA IPEPATA GOLI. PELNATI 4-3 NDIZO ZILIZOIVUSHA TANZANIA KUFIKA NUSU FAINALI...

matukio katika picha





















































Minggu, 15 Februari 2009

MAWAZIRI WAMEGUSHI VYETI....

KASHFA ya kughushi vyeti vya taaluma mbalimbali imeendelea kulitafuna taifa, baada ya kubainika uwepo wa mawaziri wanne wanaodaiwa kughushi vyeti vya elimu ya juu.
Kugundulika kwa mawaziri hao kunatokana na kuwapo kwa taarifa kuwa baadhi ya wasomi nchini wamepata taaluma hizo kupitia kwenye vyuo visivyotambulika kimataifa, hivyo elimu yao kutokuwa halali.
Aidha, kuna kundi linalodaiwa kughushi vyeti vya vyuo mbalimbali vya nje ambavyo havina umaarufu au sifa zinazotambulika kimataifa.
Miongoni mwa wasomi ambao wamo katika kundi la mawaziri ni wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, ambao wamepata shahada za falsafa (PhD) lakini zimebainika kupatikana kupitia katika tovuti mbalimbali za vyuo hivyo visivyo na sifa.
Kutokana na wahadhiri wao kutopata elimu hiyo kwenye vyuo vinavyotambulika, uongozi wa chuo hicho pamoja na Kamisheni ya Vyuo Vikuu vya Elimu ya Juu (TCU) imewataka wale wote waliopata elimu katika vyuo hivyo kusomea upya shahada zao katika vyuo vinavyotambulika kimataifa.
Habari ambazo zimeifikia Tanzania Daima Jumapili, zinadai kuwa mawaziri hao wanne (majina tumeyahifadhi), ambao ni madaktari wa fani mbalimbali hadi sasa hawajaweza kusomea upya shahada zao kama walivyoshauriwa na vyombo vya kitaaluma.
Hadi sasa mawaziri hao wamekuwa wakihaha kuhakikisha kuwa utata wa elimu yao hauwekwi hadharani ili kulinda heshima yao waliyojijengea ndani na nje ya nchi.
“Kuna mawaziri wanne ambao taaluma zao zina utata, hasa kutokana na wengine kughushi na wengine kusoma katika vyuo visivyotambulika kimataifa, uchunguzi wa walikozipata taaluma zao unaendelea,” kilidokeza chanzo chetu cha habari.
Mmoja wa mawaziri hao siku za hivi karibuni amekuwa akionekana zaidi katika vyombo vya habari, kwa msimamo wake wa kuitetea nchi ili isiingie katika mikataba na makubaliano na nchi nyingine bila kufanya tathmini ya kina.
Waziri mwingine anayedaiwa kuwemo kwenye mkumbo huo aliwahi kuingia katika malumbano na vyombo vya habari kutokana na kumuandika kuwa anatetea ufisadi, pamoja na kuwemo kwenye kundi la wanamtandao.
Kutokana na sakata hilo, mawaziri hao huenda wakalazimishwa kuachia nyadhifa walizonazo ndani na nje ya chama au kufukuzwa, iwapo suala lao litavaliwa njuga na viongozi wao au wananchi.
Kashfa hiyo ya mawaziri kughushi vyeti imekuja huku Baraza la Mitihani la Taifa NECTA likiandamwa kwa shutuma za uvujaji wa mitihani pamoja na uuzaji wa vyeti vya elimu ya sekondari.
Matukio ya kughushi vyeti yamekuwa yakiongezeka kila kukicha hapa nchini, jambo linalohatarisha mustakabali wa taifa katika nyanja ya elimu, hasa katika zama hizi za utandawazi, ambapo nchi kadhaa zimekuwa zikielekeza nguvu zaidi katika sekta ya elimu ili ziweze kuwa na wataalamu watakaozisaidia kuandaa mipango ya maendeleo.
Mmoja wa wabunge aliyewahi kukumbwa na kashfa ya kughushi vyeti vya elimu ya juu ni Ali Ramadhani Kihiyo, wa Jimbo la Temeke (CCM), ambaye alifunguliwa kesi na Chama cha NCCR-Mageuzi iliyosimamiwa na mwanasheria wake maarufu wakati huo, Masumbuko Lamwai.
Mbunge huyo alilazimika kuachia wadhifa huo baada ya kubainika kuwa hakuwa na elimu hiyo kama vyeti vyake vilivyokuwa vikionyesha na hatimaye kuachia ngazi na kuitishwa uchaguzi mwingine.
Mbali ya Kihiyo, Mbunge wa Buchosa, Samwel Chitalilo (CCM), amekumbwa na tuhuma za kughushi vyeti, lakini hadi sasa anaendelea na ubunge, licha ya kuwapo kwa kelele za baadhi ya watu wakimtaka aachie ngazi kutokana na kashfa hiyo.

from http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=2438

Mkapa, Bunge mambo kuchemka tena....

SERIKALI imebanwa na Bunge, kiasi cha kulazimika kuanza kufikiria uamuzi wa kisheria na hata kutafakari fursa ya kumwondolea kinga Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, au kutafuta uwezekano wa kumhoji kuhusu mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira mkoani Mbeya, anaodaiwa kuwa mmoja wa wamiliki, kupitia kampuni ya ANBEN.
Mbinyo huo wa Bunge dhidi ya Serikali unatokana na kile kinachoelezwa kuwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kunasa nyaraka zinazobainisha kuwa Rais Mstaafu Mkapa ni mmoja wa wamiliki wa mgodi wa Kiwira, nyaraka ambazo baadaye zilifanyiwa mabadiliko ili kumwondoa Mkapa katika wingu hilo.
Nyaraka hizo ambazo Raia Mwema imefanikiwa kuziona zinabainisha kuwa Mkapa pamoja na mkewe Anna ni wamiliki wa hisa katika mgodi wa Kiwira kupitia kampuni yao ya ANBEN. Hata hivyo, kutokana na mwenendo wa mambo na hasa baada ya suala hilo kuonekana kumweka pabaya kisiasa na kisheria Mkapa, umiliki wa mgodi huo ulifanyiwa mabadiliko.
Rais Mstaafu Mkapa
Katika mabadiliko hayo, nyaraka za sasa zinabainisha kuwa mgodi huo unamilikiwa na kampuni ya Tanpower Resources Ltd, ambayo ni muungano wa kampuni nne tofauti.
Kampuni hizo ni Fosnick Ltd, ambayo wanahisa wake ni Nick Mkapa, Foster Mkapa na mwingine aliyetambuliwa kama B. Mahembe, kampuni nyingine ndani ya mwavuli wa Tanpower Resources ni Choice Industries ambayo wanahisa wake ni Joe Mbuna na Goodyear Francis, nyingine ni Devconsult Ltd yenye wanahisa D. Yona na Dan Yona jr, wakati kampuni ya nne ni Universal Technologies Ltd ambayo wanahisa wake ni Wilfred Malekia na Evans Mapundi.
Raia Mwema imedokezwa kuwa tayari nyaraka za awali (original) zenye kuonyesha kuwa mgodi wa Kiwira unamilikiwa na kampuni ya ANBEN ambayo ni ya Mkapa, zimefikishwa katika uongozi wa juu wa Bunge.
Kwa mujibu wa habari za uhakika zilizotufikia inaelezwa kuwa nyaraka hizo zimejitosheleza kiushahidi kwamba Mkapa ni mmiliki wa ANBEN kampuni ambayo inahusika katika umiliki wa mgodi wa Kiwira.
Kutokana na hali hiyo na hasa kile kinachobainika kuwa Bunge kupitia Kamati yake ya Nishati na Madini kuridhishwa na ushahidi katika nyaraka hizo, muhimili huo wa Taifa umedhamiria kuibinya Serikali katika mambo makuu mawili.
Jambo la kwanza ni kushinikiza mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira kurejeshwa serikalini kutokana na sababu kadhaa lakini kubwa zaidi ni wawekezaji wanaopaswa kuendesha mgodi huo kubainika kuwa ni wababaishaji walioshindwa kutekeleza ahadi zao kwa Serikali.
Kati ya mambo yanayodhihirisha kuwa mwekezaji huyo kushindwa kuendesha mradi wa uzalishaji umeme kwa kutumia makaa ya mawe katika mgodi huo ni kushindwa kuwalipa stahili zao wafanyakazi wa mgodi, ambao hadi Kamati ya Bunge inatembelea mgodi huo katikati ya Januari mwaka huu, walikuwa wakidai mishahara mipya iliyotangazwa na Serikali kwamba kima cha chini kwa sekta ya madini ni Sh 350,000.
Pia kamati hiyo ilibainika kuwa mwekezaji huyo alishindwa kulipa mishahara waliopanga ambayo ni kima cha chini kuwa Sh 60,000 kwa muda wa miezi takriban nane sasa.
Lakini kubwa zaidi ni wawekezaji hao kushindwa kuzalisha umeme kwa mujibu wa makubaliano kati ya kampuni hiyo na Serikali kupitia TANESCO. Kabla ya kubinafsishwa mgodi huo ulikuwa ukizalisha megawati 6 zilizokuwa zinaingizwa katika gridi ya taifa, lakini baada ya kampuni ya TanPower Resources Ltd kupewa mgodi walitakiwa wazalishe megawati 200 katika awamu mbili.
Awamu ya kwanza ilikuwa izalishe megawati 50 ifikapo Julai 2007 na uzalishaji wa megawati 150 zilizosalia ukamilike Machi, mwaka huu. Taarifa za uhakika zinabainisha kuwa hakuna chochote kilichofanyika hadi sasa na hasa ikizingatiwa kuwa awali umeme ulikuwa ukisambazwa na kutumika katika wilaya za Kyela, Ileje na Rungwe.
Kwa sasa inaelezwa kuwa uzalisha umeme katika mgodi huo umeshuka kutoka megawati 6 za awali kabla ya ubinafsishaji hadi megawati moja na hivyo kusababisha matatizo ya umeme katika wilaya hizo tatu. Sababu hizi na nyinginezo ndizo chanzo cha Bunge kuweka shinikizo mgodi huo urejeshwe serikalini kutoka mikononi mwa mwekezaji huyo.
Jambo la pili ambalo Bunge limekusudia kufanya ni kuishinikiza Serikali kumhoji Mkapa au hata kufungua milango ya kumwondolea kinga ya kushitakiwa. Kama Serikali itashindwa kuridhia kufungua milango ya kumwondolea kinga ya kushitakiwa, basi Bunge limekusudia kuweka shinikizo kwamba Mkapa ahojiwe ili akiri au la kuliko kuacha mambo yabaki ‘hewani’ kama nchi haina uongozi.
Kwa mujibu wa tathmini ya mwaka 1998, mgodi ulikuwa na thamani ya Sh bilioni 4.2, wakati tathmini iliyowahi kufanywa mwaka 1991 na Taasisi ya Ardhi inaonyesha kuwa mgodi ulikuwa na thamani ya Sh bilioni saba.
Lakini katika ziara yake Januari mwaka huu, mgodini hapo, Kamati ya Bunge ilibaini kuwa pamoja na tathmini hiyo kufanyika, licha ya kwamba ilifanyika miaka mitano kabla ya kubinafsishwa, kamati ilishindwa kuelewa ni vigezo gani vilitumika kutupilia mbali uthamini huo na kuamua kuuza hisa kwa gharama ya Sh milioni 700 tu.
Habari zaidi zilizotufikia zinaeleza kuwa wakati wa ziara hiyo, Kamati hiyo ya Bunge ilipokea taarifa mbili zinazogongana kuhusu umiliki wa hisa za mgodi huo. Kilichobainika ni kwamba taarifa ya mwekezaji kudai kuwa amenunua hisa asilimia 70, Serikali asilimia 12 na nyingine asilimia 18 hazijanunuliwa.
Taarifa hiyo inadaiwa kugongana na ile ya wafanyakazi iliyotolewa kwa Kamati hiyo ya Bunge. Taarifa hiyo ya wafanyakazi inaeleza kuwa mwekezaji anamiliki asilimia 85 na Serikali asilimia 15.
Kutokana na mkanganyiko huo, kamati hiyo ilitoa taarifa yake iliyobainisha kuwa wajumbe wa kamati wameshindwa kuelewa juu ya utata wa umiliki huo wa hisa na wamelazimika kukusudia kuiomba Serikali ieleze wazi kuwa inamiliki hisa asilimia ngani.
Kubwa jingine lililogunduliwa na Kamati hiyo ya Bunge mgodini Kiwira ni taarifa ya mwekezaji kuonyesha kuwa Serikali ilitenga Sh bilioni 17 kwa ajili ya ukarabati, kabla ya ubinafsishaji kufanyika lengo likiwa ni kukarabati mitambo yote ya uzalishaji iliyotajwa kuwa ilikuwa imechakaa.
Hata hivyo, kamati ilipigwa na butwaa baada ya kuelezwa na wafanyakazi kuwa hakuna ukarabati wowote uliofanyika na zaidi ni kwamba jenereta moja ya kuzalisha umeme imechakaa na haifanyi kazi, wakati jenereta ya pili ina uwezo wa kuzalisha si zaidi ya megawati moja tu.
Mgodi wa makaa ya mawe Kiwira uliopo katika wilaya tatu za Rungwe, Ileje na Kyela, ulianzishwa kwa msaada wa kifedha na ufundi kutoka Jamhuri ya Watu wa China na ulizinduliwa rasmi na Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, Novemba mwaka 1988.
Mgodi huo unatajwa kuwa na uwezo wa kiusanifu wa kuzalisha makaa ghafi ya tani 150,000 kwa mwaka. Kiwango hicho cha uzalishaji hata hivyo kinaweza kuongezwa hadi tani milioni moja kwa mwaka. Makaa hayo hutumika kuzalisha umeme.

MAMBO YA VALENTINE BONGO

Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakisherekea Siku ya Wapendanao ndani ya ukumbi wa Mango Garden usiku wa kuamkia leo.







Njemba hii inaonekana kumbana vilivyo mwanadada huyu ndani ya Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar es salaam ambako bendi ya Akudo Impact ilikuwa ikitoa burudani katika kusherekea Siku ya Wapendanao.

Sabtu, 14 Februari 2009

VALENTINE DAY WISHES....

DEAR FRIEND....

YOU ARE SO SPECIAL TO ME....

TO ME, YOU'RE A BIG TWINKLIN' STAR, THAT LEADS THE NUMBER OF FRIENDS, WHICH APPROACHES THE NUMBER OF BILLIONS OF TWINKLIN' STARS TO MAKE MY DAILY LIFE TWINKLE AS BILLION STARS ARE...HAPPY GREAT VALENTINE DAY....THE THOMCOM LOVES YOU..


REGARDS,

MANAGING DIRECTOR

THE THOMCOM

Suspected US missile strike kills 27 in Pakistan

SLAMABAD – A suspected U.S. missile strike by a drone aircraft flattened a militant hide-out in northwestern Pakistan on Saturday, killing 27 local and foreign insurgents, intelligence officials said.

Several more purported militants were wounded in the attack in South Waziristan, a militant stronghold near the Afghan border where al-Qaida leaders Osama bin Laden and Ayman al-Zawahri are believed to be hiding.

The new U.S. administration has brushed off Pakistani criticism that the missile strikes fuel religious extremism and boost anti-American sentiment in the Islamic world's only nuclear-armed nation.

Pilotless U.S. aircraft are believed to have launched more than 30 attacks since July, and American officials say al-Qaida's leadership has been decimated. Pakistani officials say the vast majority of the victims are civilians.

Taliban fighters surrounded the compound targeted Saturday in the village of Shrawangai Nazarkhel and carried away the dead and wounded in several vehicles.

Intelligence officials, who spoke on condition of anonymity because they were not authorized to talk to the media, said the victims included about 15 ethnic Uzbek militants and several Afghans. Their seniority was unclear.

Two of the officials said dozens of followers of Pakistan's top Taliban leader, Baitullah Mehsud, were staying in the housing compound when it was hit.

Pakistan's former government and the CIA have named Mehsud as the prime suspect behind the December 2007 killing of former Prime Minister Benazir Bhutto near Islamabad. Pakistani officials accuse him of harboring foreign fighters, including Central Asians linked to al-Qaida, and of training suicide bombers.

The accounts of Saturday's incident could not be verified independently. The tribally governed region is unsafe for reporters. The U.S. Embassy had no comment, while Pakistani government and army spokesman were unavailable.

Pakistani leaders told visiting American envoy Richard Holbrooke earlier this week that the missile strikes kill too many civilians and undermine the government's own counterinsurgency strategy.

Still, many analysts suspect that Pakistan has tacitly consented to the attacks in order not to endanger billions of dollars in American and Western support for its powerful military and its ailing economy.

Pakistan's pro-Western government, led by Bhutto widower Asif Ali Zardari, has signed peace deals with tribal leaders in the northwest while launching a series of military operations of its own against hard-liners.

However, government forces are bogged down in several regions and Taliban militants have sustained a campaign that has included a string of kidnappings and other attacks on foreigners.

On Friday, a shadowy organization holding an American employee of the United Nations warned it would kill him within 72 hours and issued a grainy video of the blindfolded captive saying he was "sick and in trouble."

Gunmen seized John Solecki on Feb. 2 after shooting his driver to death as they drove to work in Quetta, a city near the Afghan border.

The kidnappers identified themselves as the Baluchistan Liberation United Front, suggesting a link to local separatists rather than the Taliban or al-Qaida. They are demanding the release of hundreds of people allegedly held in Pakistan.

But officials say the group is unknown and has yet to contact the United Nations. Fears for Solecki's safety are intense after Taliban militants apparently beheaded an abducted Polish geologist. If confirmed, the Pole's slaying would be the first killing of a Western hostage in Pakistan since American journalist Daniel Pearl was killed in 2002.

Zardari said in a television interview that the Taliban had expanded their presence to a "huge amount" of Pakistan and were eyeing a takeover of the state.

He sought to counter the view of many Pakistanis that the country is fighting Islamist militants, who have enjoyed state support in the past, only at Washington's behest.

"We're fighting for the survival of Pakistan. We're not fighting for the survival of anybody else," Zardari said, according to a transcript of his remarks that CBS television said it would air Sunday.

Obama has first big win in Congress

WASHINGTON – President Barack Obama has the first major victory in Congress of his young administration, a $787 billion stimulus bill that includes tax cuts and federal spending aimed at easing the worst economic crisis in decades.

Obama "now has a bill to sign that will create millions of good-paying jobs and help families and businesses stay afloat financially," said Sen. Max Baucus, a Montana Democrat who was a leading architect of the measure that cleared both houses on Friday on party line votes.

"It will shore up our schools and roads and bridges, and infuse cash into new sectors like green energy and technology that will sustain our economy for the long term," he added in a statement.

Hours earlier, Senate Republican leader Mitch McConnell offered a different prediction for a bill he said was loaded with wasteful spending.

"A stimulus bill that was supposed to be timely, targeted and temporary is none of the above," he said in remarks on the Senate floor. "And this means Congress is about to approve a stimulus that's unlikely to have much stimulative effect."

In a struggle lasting several weeks, lawmakers in the two political parties both emphasized they wanted to pass legislation to revitalize the economy and ease frozen credit markets. But the plan that the administration and its allies eventually came up with drew the support of only three Republicans in Congress — moderate Sens. Susan Collins and Olympia Snowe of Maine and Arlen Specter of Pennsylvania.

Their support was critical, though, in helping the bill squeak through the Senate on a vote of 60-38, precisely the number needed for passage. Democratic Sen. Sherrod Brown cast the 60th vote in favor in a nearly deserted Senate, hours after the roll call began. He arrived after a flight aboard a government plane from Ohio, where he was mourning the death of his mother earlier in the week.

The House vote was 246-183.

The legislation, among the costliest ever considered in Congress, provides billions of dollars to aid victims of the recession through unemployment benefits, food stamps, medical care, job retraining and more. Tens of billions are ticketed for the states to offset cuts they might otherwise have to make in aid to schools and local governments, and there is more than $48 billion for transportation projects such as road and bridge construction, mass transit and high-speed rail.

Democrats said the bill's tax cuts would help 95 percent of all Americans, much of the relief in the form of a break of $400 for individuals and $800 for couples. At the insistence of the White House, people who do not earn enough money to owe income taxes are eligible, an attempt to offset the payroll taxes they pay.

In a bow to political reality, lawmakers included $70 billion to shelter upper middle-class and wealthier taxpayers from an income tax increase that would otherwise hit them, a provision that the nonpartisan Congressional Budget Office said would do relatively little to create jobs.

Also included were funds for two of Obama's initiatives, the expansion of computerized information technology in the health care industry and billions to create so-called green jobs the administration says will begin reducing the country's dependence on foreign oil.

Friday's events capped an early period of accomplishment for the Democrats, who won control of the White House and expanded their majorities in Congress in last fall's elections.

Since taking office on Jan. 20, the president has signed legislation extending government-financed health care to millions of lower-income children who lack it, a bill that President George W. Bush twice vetoed. Obama also has placed his signature on a measure making it easier for workers to sue their employers for alleged job discrimination, effectively overturning a ruling by the Supreme Court's conservative majority.

Jumat, 13 Februari 2009

Kama ndo hivyo Dunia itagongana na mwezi siku moja. au na JUA...... Satelite ya Russia Na ya Marekani zagongana angani...

Satellite crash raises growing concern over space junk
Russia is monitoring the wreckage of two communications satellites that collided in space above Siberia. NASA says neither the earth nor the International Space Station are at risk from the debris of the Russian and American satellites. But what caused the accident and who’s to blame?
The accident occurred on Tuesday, creating a massive explosion with much debris scattering through space. It has become the first-ever collision involving two orbiting satellites.

Russian scientists are still guessing about what could have been behind the collision, but one thing they’re sure of is that the responsibility rests with the Americans. Out of the two satellites whose orbits crossed some 800 kilometres above Siberia, only the U.S. satellite was in service and could be manipulated from the ground.

Nail Bakhtigarayev from the Institute of Astronomy said:

“The Russian satellite, which was previously used for military purposes, had been long decommissioned. It didn’t even have an engine, so its orbit couldn’t have been changed from Earth.”

The privately-owned American satellite – Iridium-32 - was launched in 1997 to enhance satellite telephone networks. The Russian Cosmos-2551 satellite was launched in 1993 and, according to NASA and Pentagon officials, had been non-operational for about 10 years.

According to NASA, the crash debris creates some small risk to the ISS, which is located about 400 kilometres below the orbit where the accident took place. However, it will take several weeks before the full magnitude of the collision is determined.

Danger of space junk

Currently there are about 12,000 artificial objects in space, including some 800 operating spacecraft.

There have been minor collisions in space before, but the scale of this latest crash is unprecedented. The satellites - one weighing about a tonne, the other almost 600 kilogrammes – crashed at a speed of 670 km per minute. Officials said the accident will be investigated and analysed.

While space experts ruled out the risk of immediate damage, the incident highlighted the larger problem of a highly congested earth orbit.

“This is a serious problem that gets worse by the year. The amount of space junk is increasing. Eventually it will clutter Earth’s orbit to such a degree that active satellites would only be able to operate for short periods of time without fear of collision,” Nail Bakhtigarayev said.

Charles Vick, a space expert at globalsecurity.org, thinks an international standard for disposing of space debris should be created.

“It certainly is likely to happen again since we underestimated the potential of this type of accident, but we really shouldn’t have done so,” he said.

The larger question, he asked, is “why don’t we have an international standard for older, defunct spacecraft that still have time before they deteriorate? Perhaps we should have an international standard that old satellites must have a de-orbit capability at the end of their life span in order to prevent this kind of thing...”

Selasa, 10 Februari 2009

WAZIRI WA PILI MWANAMKE WA ISRAEL KUWA BIBI TZIPI LIVNI.....

JERUSALEM – Foreign Minister Tzipi Livni and hard-line rival Benjamin Netanyahu both claimed victory in Israel's parliamentary election Tuesday, which early returns suggested was too close to call. With 67 percent of the votes counted, Livni's centrist Kadima Party had 29 seats in the 120-seat parliament while Netanyahu's hawkish Likud Party was right behind with 28, Israel's Channel 1 television said.

However, soldiers' votes on bases across the country weren't being tallied until Thursday evening, which could shift the results by a seat or two.

Regardless of who gets the most votes, Netanyahu's Likud Party appeared to have the upper hand in forming a ruling coalition thanks to strong showing by other right-wing parties.

"With God's help, I will lead the next government," Netanyahu told a raucous crowd of cheering supporters chanting his nickname, Bibi, early Wednesday. "The national camp, led by the Likud, has won a clear advantage."

Soon after, Livni took the stage before a crowd of flag-waving supporters and flashed a V-for victory sign. "Today the people chose Kadima. ... We will form the next government led by Kadima," she declared.

Exit polls had earlier showed Livni with a slight lead, but strong gains by right-wing parties overall would make it difficult, and perhaps impossible, for her to form a government.

Even if Livni could overcome the formidable obstacles and become Israel's second female prime minister after Golda Meir, the early results suggested she would have to rely on the participation of right-wing parties opposed to her vision of giving up land in exchange for a peace deal with the Palestinians.

Despite the uncertainties, both sides claimed victory.

Applause, cheers and whistling erupted at Kadima headquarters in Tel Aviv as television stations began reporting their exit polls, with supporters jumping up and down and giving each other high-fives and hugs. At Likud headquarters, Netanyahu supporters expressed confidence their man would still become Israel's leader.

Israeli exit polls have not always been reliable, especially when the vote is close, but the projected results marked a dramatic slide for Netanyahu, who had held a solid lead in opinion polls heading into the election.

The projections showed hard-line parties winning as many as 66 seats in the 120-member parliament, while liberal parties captured just 54 seats. Preliminary results were expected early Wednesday.

Israelis vote for parties, not individuals. Since no party won a parliamentary majority, the leader of one of the major parties must try to put together a coalition with other factions — a process that can take up to six weeks.

In coming days, President Shimon Peres will ask the leader who he believes is most capable of forming a coalition to try to put together a government.

If he chooses Livni, she would have to reach out to hard-liners. The elections were called after she failed to put together a ruling coalition when scandal-plagued Prime Minister Ehud Olmert announced he was stepping down last fall.

Alternatively, Peres could turn to Netanyahu, who appeared to be in a better position to put together a majority.

Netanyahu, who opposes giving up territory to make room for a Palestinian state, could find himself on a collision course with President Barack Obama, who is promising an aggressive push for Mideast peace. Netanyahu says he would allow West Bank settlements to expand and is seen as likely to contemplate military action against Iran — positions that would likely put him at odds with Obama.

A strong showing by ultranationalist candidate Avigdor Lieberman appeared to have taken a sizable chunk of votes that would have otherwise gone to Netanyahu.

The exit polls put Lieberman's Yisrael Beitenu Party in third place behind Kadima and Likud — and ahead of Labor, the party that ruled Israel for decades. That gives Lieberman, who based his campaign on denying citizenship to Israeli Arabs he considers disloyal, a key role in coalition building. Livni would almost certainly not be able to form a government without his support.

Lieberman said his party's strong showing means he holds the key to forming the new Israeli government. He said he had spoken to both Livni and Netanyahui and told them he could be persuaded to join either one of them.

"It is up to Lieberman who will form the next coalition," said Menachem Hofnung, a professor of political science at Hebrew University. "Lieberman has emerged as the kingmaker. He is the winner of these elections and it depends on who he sides with over the next few weeks as to who will be prime minister."

Netanyahu, who was prime minister a decade ago, portrayed himself as the candidate best equipped to deal with the threats Israel faces — Hamas militants in Gaza, Hezbollah guerrillas in Lebanon and behind them an Iranian regime that Israel believes is developing nuclear weapons.

He has derided the outgoing government's peace talks as a waste of time, and said relations with the Palestinians should be limited to developing their battered economy.

Livni, who has led Israel's peace talks the past year, has pledged to continue the negotiations with the moderate Palestinian government in the West Bank. At the same time, she advocates a tough line against the Hamas government in the Gaza Strip, and was one of the architects against a bruising Israeli military offensive in Gaza last month.

At Likud headquarters, activists dismissed Kadima's edge and predicted Netanyahu would be tapped to form the next government.

"I am certain that Netanyahu will be the next prime minister," said Likud lawmaker Gilad Erdan. "Netanyahu has a clear advantage because the right wing parties have a larger bloc. The test is not which party gets the most votes, but which candidate has the best chance to form a coalition, and that person is Benjamin Netanyahu."

Israel's three main TV stations released exit polls as voting ended at 10 p.m. Tuesday.

Channel One and Channel 10 each gave 30 of 120 parliament seats to Kadima and 28 seats to Netanyahu. Channel Two gave 29 seats to Kadima and 27 to Likud.

Kadima lawmaker Haim Ramon predicted the party would lead the next government.

"We are the only party that can approach both the right wing and the left," he told Channel 2 TV. But he acknowledged the results would make it difficult for anyone to govern.

Israel's Palestinian peace partners in the West Bank said the next Israeli government would have to stop building in the West Bank before talks could resume.

"We now have clear conditions for whoever heads the Israeli government," said Rafiq Husseini, a senior aide to Palestinian President Mahmoud Abbas. "The conditions for negotiations to resume begin with the immediate halt of settlement activities."

Peace talks have not included the Gaza Strip's Hamas rulers, who do not recognize Israel's right to exist and recently were the target of a devastating Israeli military offensive.

In Gaza, Hamas spokesman Fawzi Barhoum said the election results don't make a difference in the lives of Palestinians because Israel "is still working to eliminate the Palestinian existence.

"Anyone who thinks that new faces might bring change is mistaken," Barhoum said, before the exit polls were released.

akamatwa kwa kutaka kumuua Rais wa Marekani Barack Obama..

Police arrested a man near the U.S. Capitol on Tuesday after he drove up to one of the building's barricades with a rifle in his vehicle and told officers that he had a delivery for President Obama, a Senate spokesman said.
Threats to President Obama have led to arrests in previous cases.

A man drove to the Capitol with a rifle and said he had a delivery for Preisdent Obama, police said.

The man was arrested and transported to Capitol Hill police headquarters for further processing. Charges against him are pending.

Capitol Police spokeswoman Sgt. Kimberly Schneider said the man did not specifically threaten Obama, but confirmed the man said he was making a delivery.

While being questioned by Capitol police, the man admitted to having a gun in the vehicle and was detained without incident, she said.

Threats against Obama have led to arrests in previous cases.

In one, federal prosecutors concluded that three people arrested with drugs and weapons in a suburban Denver, Colorado, motel posed a "true threat" to Obama during the Democratic National Convention.

In the second, a Florida man was charged with threatening bodily harm against the then-candidate in August. He has pleaded not guilty

CHINA YAENDELEA KUTAFUTA MASOKO AFRICA IKIWEPO TANZANIA

Rais Hu Jintao wa jamhuri ya Watu wa china amefunga leo safari ya siku 8 itakayomchukua Saudi Arabia na katika nchi 4 za kiafrika:Mali,Senegal ,Tanzania na Mauritius.Hii ni ziara ya kwanza ya rais Hu nchi za nje mwaka huu mpya wa 2009.

Rais Hu Jintao atawasili barani Afrika baadae wiki hii kwa ziara ambayo wachambuzi wa kisiasa wanasema inalenga kukuza heba ya nguvu za kiuichumi za China barani Afrika ambako imetia raslimali nyingi ili nayo ivune sehemu ya akiba ya mafuta na madini.

Rais wa China kwanza anawasili leo Saudi Arabia kwa ziara ya siku 3 kabla hakuwasili Mali,Senegal,Tanzania na kisiwani Mauritius, nchi am bazo hazina maliasili kubwa ambayo kiawaida huivutia China.

Biashara lakini kati ya afrika na China ilifikia kiasi cha dala bilioni 100 mwaka jana 2008 huku mafuta ya petroli na madini nyengine yanayopatikana Afrika yakisafirishwa China na china ikimimina bidhaa zake katika masoko ya Afrika.

2006,Rais Hu Jintao aliwaahidi viongozi wa kiafrika msaada zaidi ,raslimali na biashara .Hii ilikuwa wakati wa mkutano III wa mawaziri wa Jukwaa la ushirikiano baina ya Afrika na China uliofanyika Beijing.

Wac hambuzi wanadai madhumuni ya ziara hii eti ni zaidi kujenga imani kabla ya kufanyika mkutano wao 4 uliopangwa huko Sharm el-Sheikh nchini Misri mwishoni kabisa mwaka mwaka huu wa 2009 kuliko kufunga mikataba ya biashara.

Nchi zilizochaguliwa kutembelea mfano wa Tanzania zilichaguliwa makusudi ili kutoonesha usuhuba wa China na Afrika haushikamani tu na haja ya madini ya Afrika.Christopher Aden ,bingwa wa uhusiano kati ya China na Afrika katika Chuo Kikuu cha uchumi cha London School of Economics,ameliambia shirika la habari la ujerumani DPA kuwa Senegal yamkini imechaguliwa kutembelewa kwavile mwaka jana ilichukuwa wadhifa wa mwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za kiislamu yenye wanachama 57 na kwamba China ina hamu ya kuendeleza mafungamano yake na ulimwengu wa kiislamu.

Kiu kikubwa cha China cha kujipatia nishati ya mafuta na madini kumepalilia wasi wasi juu ya sera za China barani afrika huku ikikosolewa kwsmaba imejitolea kushirikiana na serikali yoyote huko bila kujali inaheshimu nchi hiyo haki za binadamu au la.

China imeziungamkono dola kama Sudan na zimbabwe ambazo haziangaliwi kuheshimu utawala bora.

Rais Omar Hassan Al bashir wa Sudan anakwepa marufuku ya silaha ya kimataifa na anatumia silaha alizonunua China huko Dafur.

China pia imeupatia utawala wa rais Mugabe nchini zimbabwe silaha na mwaka jana 2008 ilifunga mkataba wa dala bilioni 9 na Jamhuri ya kidemokrasi ya kongo kuijengea miundo-mbinu kama barabara,njia za reli,mahospitali ili China nayo ipatiwe haki za uchimbaji madini nchini Jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo.

Senin, 09 Februari 2009

kufuatia kuwekewa vifaa vya kunasa sauti Dr. Slaa, Mambo yamekuwa hivi huko Moscow Russia...

ASKOFU WA KANISA KATOLIKI AZUA KIZAAZAA DUNIANI. AWACHEFUA WAISRAEL...

Kisa cha Williamson

Askofu Richard Williamson wa Uengereza


Eti mwito wa kansela Angela Merkel kwa Papa Benedikt wa 16 ni sawa?



Hii leo kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni, Papa Benedikt wa 16 na mkuu wa shirika la usafiri wa reli la Ujerumani Deutsche Bahn, Hartmut Mehdorn, ndio waliomulikwa zaidi na wahariri wa magazeti ya Ujerumani hii leo.


Tuanzie lakini Vatikan ambako uongozi umemtaka askofu anaefuata nadharia asilia Williamson arekebishe matamshi yake yanayokanusha mauwaji ya halaiki ya wayahudi-Holocaust, yaliyofanywa na utawala wa manazi. Siku moja kabla ya hapo alikua kansela Angela Merkel aliyemtaka kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni afanye hivyo. Ndo kusema kansela Angela Merkel amefanikiwa kupata kile alichokua akikitafuta kutoka kwa kiongozi mkuu wa kanisa katoliki la kirumi ulimwenguni? Linajiuliza gazeti la FRANKFURTER ALLGEMEINE ZEITUNG linaloshuku kama kansela alikua na haki ya kufanya hivyo.


Kwa sababu hakumtaka Papa Benedikt wa 16 ajitenge na aina zote za hoja zinazokanusha au zinazowekea suala la kuuliza kuuliwa wayahudi wa Ulaya wakati wa utawala wa wanazi. Hayo Papa Benedikt wa 16 aliyatamka wiki moja kabla na mara kadhaa amekua akiweka wazi kabisa msimamo wake bila ya kuhitaji msaada kutoka Berlin.



Hata gazeti la Die Welt linahisi siasa ilikua nyuma ya lawama dhidi ya Papa. Gazeti linaendelea kuandika:



Bibi Merkel angeweza kupata njia ya kuwasilisha maoni yake kupitia balozi wa Ujerumani katika Vatikan Hans-Henning Horstmann. Njia ya kisiri siri, ambayo ingeachiwa serikali za nchi nyengine, ingekua na maana zaidi. Matamshi ya Williamson anaekanusha mauwaji ya halaiki ya wayahudi, Shoah, yamekosolewa moja kwa moja humu nchini. Upande huo lakini hakuna tofauti yoyote pamoja na kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni. Hali hiyo haijadhihirika hivyo lakini kutokana na matamshi ya kansela. Wakatoliki wanaweza kuingiwa na hasira na hali hiyo haitakua na matokeo ya kuvutia kwa bibi Merkel."


Mada ya pili magazetini hii leo ni kuhusu kisa cha kupelelezwa wafanyakazi wa shirika la usafiri la Deutsche Bahn. Gazeti la SÜDDEUTSCHE ZEITUNG linaandika:


Mehdorn anafanya kana kwamba data za wafanyakazi wake na ile hali ya kuvunjwa sheria zinazohusiana na kinga ya data,ni jambo dogo tuu linalokuzwa na kumpotezea wakati wa kuendelea na shughuli muhimu. Hatambui kama hii ni kadhia tete kabisa. Hatambui kwa sababu hathamini haki ya watumishi wake na wala hatilii maanani sheria. Anashindwa kutambua kwamba shirika la usafiri wa reli Die Bahn sio mamlaka ya mbali, bali shirika ambalo njia zake za reli zinakutikana katika ardhi ya nchi ya kidemokrasi inayoheshimu sheria-haki za kuhifadhiwa data na haki za wafanyakazi. Ikiwa Mehdorn angali ataamini anaweza kuvunja sheria atakavyo yeye, basi ajue pia kwamba anajitoa mwenyewe kazini."



Minggu, 08 Februari 2009

Can Washington and Moscow start afresh?

February 8, 2009, 20:00

The U.S. Vice President Joe Biden has said Washington wants to hit "the reset button" over ties with Moscow. Russia has welcomed the words, but Deputy PM Sergey Ivanov has warned against over optimism, saying previous “thaws” had ended in disappointment.

Biden spelled out his country's new direction in his first major foreign policy speech at an international security forum in Munich.

Ivanov and Biden held private talks at the conference. Speaking to the media after the closed-door session, Ivanov said:

“The U.S. administration is sending very strong signals - and we do hear them - signals that they are ready to resume dialogue between Russia and the U.S., frankly and honestly, on all issues of mutual interest. It does not mean that we will agree on each and every issue, and that's clear to both parties.”

But can the new rhetoric really be called a thaw in the relations between Russia and the West?
”From my previous experience – I’m 56 already – I saw a lot of thaws, I saw a lot of good intentions, which ended nowhere. I hope this time it won’t be the case,” Sergey Ivanov told RT.

There had already been reports that the U.S. wants new talks on the Anti-Ballistic Missile treaty, from which the Bush administration unilaterally withdrew. Obama had reportedly sent Henry Kissinger to Moscow last December to lay the groundwork for a bi-lateral deal.
“We are ready to start negotiations on strategic arms limitations as quickly as possible,” Ivanov said.

Joe Biden confirmed the U.S. wants to renegotiate and hinted at movement on U.S. plans to deploy a missile defence shield in Europe. However, his statement fell short of shedding hard light on what exactly the White House has in mind.

"We will continue to develop missile defense to counter a growing Iranian capability, provided the technology is proven to work and cost-effective. We will do so in consultation with you, our NATO allies, and with Russia," he said.

Relations between Moscow and NATO have become increasingly tense in recent years. Russia strongly opposes the alliance’s expansion eastwards as well as U.S. proposals for a defence shield in Poland and the Czech Republic.

Referring to last year’s conflict in the Caucasus, where Washington accused Russia of a disproportionate use of force in response to Georgia’s attack on South Ossetia, Biden said the US would “not agree with Russia on everything”. He said the new administration in Washington would not recognize Georgia’s two breakaway regions as independent states – a move already completed by Russia.
“But the United States and Russia can disagree and still work together where our interests coincide. And they coincide in many places,” Biden said.

”Our Russian colleagues long ago warned about the rising threat of the Taliban and Al Qaeda in Afghanistan. Today, NATO and Russia can, and should, cooperate to defeat this common enemy,” he said.

He went on to say that: “The United States rejects the notion that NATO's gain is Russia's loss, or that Russia's strength is NATO's weakness. The last few years have seen a dangerous drift in relations between Russia and the members of our alliance. It is time to press the reset button and to revisit the many areas where we can and should be working together with Russia”.

The 45th annual security conference in Munich had more big-name delegates than ever before, and they were looking at ways to reform European security. The question, however, was - with or without Russia.

Jumat, 06 Februari 2009

Russia allows transit of US military supplies under the Kremlin's terms

MOSCOW – Russia granted transit rights Friday to non-lethal U.S. military supplies headed to Afghanistan but only after apparently pressuring a former Soviet state to close an air base leased to the Americans.

The signal from Moscow: Russia is willing to help on Afghanistan, but only on the Kremlin's terms.

Kyrgyzstan announced the closure of the Manas air base but American officials suspect that Russia was behind the decision, having long been irritated by the U.S presence in central Asia.

The Russian decision to let U.S. supplies cross its territory opened another route to those through Pakistan now threatened by militant attacks, but U.S. officials were still left scrambling for alternatives to Manas.

Russia wants to open discussions on thorny policy issues that Washington and Moscow have clashed on in recent years — NATO enlargement, missile defense in Europe, a new strategic arms control treaty. More importantly, Russia's expectation is that Washington must go through Moscow where Central Asia is concerned.

Russia may also be showing Washington that its positions aren't immovable — particularly where Afghanistan is concerned. Russia fears Afghanistan is collapsing into anarchy, leading to instability or Islamic radicals migrating northward through Central Asia.

Foreign Minister Sergey Lavrov said Russia had agreed days earlier to allow transit of U.S. non-lethal supplies to Afghanistan.

"We are now waiting for the American partners to provide a specific request with a quantity and description of cargo," Lavrov said Friday in remarks broadcast by Vesti-24 TV. "As soon as they do that we will issue relevant permissions."

He and other officials did not say whether the U.S. will be offered air or land transit corridors. Any new transit routes are unlikely to make up for the loss of Manas, home to tanker planes that refuel warplanes flying over Afghanistan as well as airlifts and medical evacuation operations.

The Kremlin last year signed a framework deal with NATO for transit of non-lethal cargo for coalition forces in Afghanistan and has allowed some alliance members, including Germany, France and Spain, to move supplies across its territory.

Foreign Ministry spokesman Igor Lyakin-Frolov said Germany has been using air and land routes and France so far only has used air transit.

Ground routes through Russia would likely cross into Kazakhstan and then Uzbekistan before entering northern Afghanistan.

The U.S. has reached a preliminary deal with Kazakhstan to use its territory and officials have said they are considering resuming military cooperation with Uzbekistan, which neighbors Afghanistan.

That option is problematic for Washington: Uzbekistan kicked U.S. forces out of a base there after sharp U.S. criticism of the country's human rights record and the government's brutal quashing of a 2005 uprising.

Renewing those ties would also open the United States to new accusations it is working with an authoritarian government that tortures its citizens. Uzbekistan has also in the past faced a low-level insurgency from Islamic radicals, though a government crackdown has quelled much of it.

U.S. officials have repeatedly said talks with Kyrgyzstan on the Manas base are still ongoing. U.S. State Department spokesman Gordon Duguid suggested Friday that Kyrgyz officials may be divided over whether to close the base, a source of income for the impoverished nation.

"They've not told us they reached a final decision," Duguid said.

Kyrgyzstan's parliament delayed a vote on the government's decision until next week, and some Kyrgyz officials have indicated they may be willing to discuss the issue with the United States.

But National Security Council chief Adakhan Madumarov said Friday the decision to close the base was final.

"There is no doubt the bill to revoke the basing agreement will be ratified," he said. "The fate of the air base has been sealed."

In a separate development, Tajikistan's president pledged Friday that his government would allow the transit of non-military supplies to coalition troops based in neighboring Afghanistan.

Still, Tajik routes are unlikely to greatly affect U.S. supplies because the mountainous country is hard to traverse by land and it already allows U.S. overflights.

haya sasa mastaa wetu...


Eti Jinsi Nilivyo na umbo Langu linavyovutia!!??? Ama kweli Kibaya chajitembeza! si usubiri kusifiwa na wengine?! Ila.... ni kweli! love
hayo ni maoni katika story hii

IRENE NILIWATEGA KIMPENZI KANUMBA NA RAY

ijumaa
Akiongea kwa msisitizo kwenye kipindi cha Mcheza Kwao kinachorushwa angani kupitia Runinga ya Star, Irene alisema kuwa, wakati wa uchukuaji wa filamu hiyo aliwatega kwa makusudi Kanumba na Ray kwa kuwakalia mikao ya mitego ili waweze kupata hisia za kweli wakati wanaigiza.

Irene ambaye aliwahi kuwa Mlimbwende Nambari 5 wa Tanzania mwaka 2006, alisema kuwa, filamu hiyo aliyocheza na Ray na Kanumba ilikuwa na ugumu katika kuigiza kwani kutokana na vituko alivyokuwa akiwafanyia kila dakika wasanii hao maarufu iliwalazimu kuomba ruhusa ya kwenda chooni kila mara.

“Nilikuwa najua ninachokifanya, nilikuwa nawatega ili wapate hisia za kweli za kimapenzi ili kuweza kupatikana uhalisia wa filamu na ndiyo maana kila wakati walikuwa wakiomba kwenda chooni kujiweka sawa. Ukiiangalia Oprah ni nzuri,” alisema Irene.

Akiwa anaendelea kuhojiana na Mtangazaji wa kipindi hicho, Mnyange huyo alisema kuwa, katika filamu ni lazima uweke hisia za kweli ili uweze kuleta uhalisia katika nafasi unayocheza.

“Nilicheza filamu hiyo nikijua kabisa kutokana na jinsi nilivyo, umbo langu linavyovutia ni lazima mwanaume kama Kanumba au Ray aingie mtegoni,” alisema Irene.

Filamu ya O’prah imekuwa gumzo miongoni mwa wapenda filamu za Kibongo ikidaiwa kuwa na uhalisia wa hali ya juu huku ikisemekana kuacha bifu kati ya Irene Uwoya na Wema Sepetu ambaye ni mpenzi wa Kanumba baada ya kuhisi kuna kilichokuwa kikiendelea nje ya filamu kati ya wasanii hao wawili.

Siku za hivio karibuni, imedaiwa msanii mwingine maarufu wa Bongo (jina tunalo) ameanza bifu na Irene kufuatia filamu hiyo hiyo akidai na yeye alichukuliwa ‘mali’ zake na Irene.

Habari hii inafuatiliwa kwa karibu na itakapokamilika itarushwa hewani mara moja.
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu , ambaye siku za karibuni amekumbwa na mikasa, anasemekana sasa amewekewa ulinzi na watoa nasaha ili kurekebisha mwenendo wake.

Vipanya katikati ya Jiji `vyapigwa stop` jumla

2009-02-06 16:12:53

Operesheni ya kuondoa magari madogo ya abiria yanayofika katikati ya Jiji la Dar almaarufu kama vipanya imeanza kwa kasi ambapo hadi kufikia jana, jumla ya daladala zaidi ya 100 za aina hiyo zimekamatwa na kutakiwa kusitisha huduma zake kuelekea kwenye maeneo hayo.

Ofisa wa Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), katika Kanda ya Mashariki na Pwani, Bw. Walukani Luhamba, ameliambia Alasiri kuwa operesheni hiyo ilianza jana na kwamba tayari magari zaidi ya 100 yameshatimuliwa.

Akafafanua kuwa operesheni hiyo ambayo itadumu kwa muda wa wiki mbili, inatokana na mpango wa SUMATRA wa kuyaondoa magari yote madogo yaendayo katikati ya Jiji, lengo mojawapo likiwa ni kupunguza msongamano wa magari.

Akasema daladala zinazoruhusiwa kutoa huduma hizo ni zile zenye uwezo wa kubeba abiria 26 na kuendelea na kwamba daladala hizo za aina ya vipanya, zinatakiwa kuhudumia katika maeneo ya pembezoni mwa Jiji.

``Vipanya vingi havina leseni kwa sababu leseni zao zimeshaisha muda wake na hawa hawataki kuja kukata leseni nyingine, hali inayowafanya kufanya biashara kwa kuibia tu,`` akasema.

Akasema zoezi hilo linaendeshwa na kitengo cha usalama wa barabarani cha Polisi kwa kushirikiana na kikosi cha farasi cha FFU na maofisa wa SUMATRA.

Akabainisha kuwa daladala lolote litakalokamatwa kwa kosa la kufanya biashara huku likiwa halina leseni za usafirishaji, litalazimika kulipa faini ya Sh. 250,000.

Akasema baada ya kulipa faini hiyo, wamiliki wanatakiwa kuchagua njia wanayotaka kuhudumia ambayo ni lazima iwe ya permbezoni na kisha kwenda moja kwa moja Mamlaka ya Ufundi (VETA), kupigwa mistari inayoonyesha barabara watakazohudumia.

Alipoulizwa kuhusiana na daladala zinazoweza kuziba pengo la usafiri katika maeneo hayo, akasema wamekuwa wakisajili daladala zaidi ya nane kila siku katika maeneo hayo.

``Wakazi wa Jiji hawana haja ya kuhofia kuhusiana na shida ya usafiri kwa sababu kutakuwa na daladala kubwa nyingi zitakazotoa huduma hiyo katika maeneo ya katikati ya Jiji,`` akasema Bw. Luhamba.

Dk Slaa awekewa chombo cha chumbani yadaiwa ni cha kijasusi

2009-02-06 16:18:48


Mbunge wa Karatu (CHADEMA), Dokta Wilbroad Slaa yuko katika mashaka makubwa kufuatia kitendo cha watu wasiofahamika, kuingia kwenye chumba cha hoteli anayoishi mjini hapa na kutegesha mitambo inayosadikiwa kuwa ni ya kunasa mazungumzo yake.

Taarifa zilizothibitishwa na Mkuu wa Upelelezi wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Bw. Salum Msangi zimedai kuwa, jana mishale ya saa 5:00 usiku, kitu kimoja cheusi kilikutwa kwenye chaga ya kitanda cha mbunge huyo wa Karatu.

Amesema mbunge huyo amefikia kwenye chumba namba 201 kilicho ghorofa ya kwanza ya hoteli ya Fifty Six.

Licha ya Dk. Slaa, afande Msangi amesema kuwa kifaa kama hicho pia kimekutwa kwenye chaga ya kitanda cha mbunge wa Konde (CUF), Dk.Taarab Ali Taarab, ambaye naye amefikia chumba namba 202 kwenye hoteli hiyo hiyo.

Gazeti hili ambalo liilifika eneo la tukio kiasi cha dakika 15 baada ya polisi kuwasili mahala hapo, lilikuta maafisa kadhaa wa polisi kutoka kitengo cha upelelezi mkoa wakifanya uchunguzi wao.

Walionekana wakimhoji Dk. Slaa ambaye alikuwa na wabunge wenzake wa upinzani, wakiwemo Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini), Halima Mdee (Viti Maalum), John Mwera (Tarime) na Grace Kihwelu (Viti Maalum).

Mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Dodoma (RCO), Salum Msangi, amesema ni kweli polisi wamekuta kifaa cheusi kikiwa kimenatishwa kwenye chaga chini ya godoro la kitanda cha Dk. Slaa, ndani ya chumba chumba namba 201.

``Kifaa hivyo tulikuta kinatoa mwanga mwekundu kama kimulimuli…pia kifaa kama hicho tulikikuta sehemu inayofanana na hiyo kwenye kitanda cha Mheshimiwa Dk.Taarab Ali Taarab (CUF), chumba namba 202,`` alisema.

Akieleza zaidi tukio hilo, afande Msangi amesema kuwa baada ya kupelekewa taarifa mishale ya saa 5:00 usiku wa Alhamisi, walifika hotelini hapo na kufanya uchunguzi ili kujua kifaa hicho ni cha aina gani.

``Hadi sasa bado hatujajua ni kitu gani hasa... lakini uchunguzi wetu wa awali unaonyesha kuwa si bomu,`` akasema.

``Tunachukua vitu hivi na tutavipeleka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kwa uchunguzi zaidi,`` akasema mkuu huyo wa upelelezi.

Pia aliwaambia waandishi wa habari kuwa hadi wanakamilisha kazi ya uchunguzi na mahojiano kwenye mishale ya 7:45 usiku, hakuna mtu aliyekamatwa kuhusiana na tukio hilo na kwamba uchunguzi zaidi wa polisi utaanza mara moja.

Katika hatua nyingine, afande Msangi amesema kuwa polisi imechukua chupa yenye mvinyo, ambayo inadaiwa kufikishwa mapokezi na mtu asiyejulikana aliyedai ni mzigo wa Dk. Slaa.

Amesema juzi, mtu aliyejitambulisha kuwa ni mgeni wa Dk. Slaa, aliacha mzigo huo aliodai kuwa amemletea kama zawadi.

``Pia chupa hii yenye mvinyo tumeikuta ikiwa na vijitundu vidogo kwenye mfuniko... tumeichukua na tutaipeleka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali ili afanye uchunguzi wa kimaabara na kujua kama kulikuwa na kitu chochote cha kudhuru,`` akasema.

Akizungumzia tukio hilo, Dk. Slaa amesema jana asubuhi wakati akishiriki mkutano wa wabunge na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. Beno Ndulu, alipigiwa simu na mtu mmoja, aliyemtahadharisha kuwa kuna kitu kimefungwa ndani ya chumba chake na kwamba akifika chumbani humo, awe makini.

Hata hivyo, Dk. Slaa anasema hakuipa uzito sana taarifa ya mtu huyo ambaye hakumtaja jina ingawa wanafahamiana na hivyo akaendelea na kikao hicho.

``Lakini nilipofika kwenye chumba changu, kabla ya kulala nikaanza kupekua huku na huko... kweli nilikuta kifaa kidogo cheusi kikiwa kimenasishwa kwenye chaga, chini ya godoro. Baada ya kuona hivyo, nilikwenda chumba cha jirani yangu ambako ni kwa Mheshimiwa Dk.Taarab na kumjulisha. Naye kwa tahadhari, akaanza kupekua na akakuta kitu kama hicho,`` akasema.

Akasema baada ya kuona hivyo, alimpigia simu Katibu wa Bunge, Dk. Kashilila, ili kumjulisha juu ya tukio hilo.

Akasema kuwa naye (Dk. Kashilila), kwa haraka akaagiza Afisa Usalama wa Bunge kufika eneo hilo .

``Baada ya muda walifika polisi na tukawaonyesha... na wao wakachunguza kabla ya kuvinasua vitu hivyo,`` akasema Dk. Slaa mbele ya waandishi wa habari, maafisa wa polisi na wabunge wengine.

Mbunge huyo ambaye mara kadhaa amesimama kidete kufichua uovu mbalimbali Serikalini, alisema yeye bado yuko imara na hatishiki na hali iliyomkuta, kwani sio mara ya kwanza kukumbwa na mambo yanayoashiria kumtishia maisha.

Amesema yeye ana imani na jeshi la polisi na ana uhakika kuwa uchunguzi wao, utatoa picha halisi ya kwamba kifaa hicho kiliwekwa kwa malengo gani.

``Nilipata kusikia huko nyuma kuwa watu wanaweza kufungiwa vifaa vya kunasa sauti kwa siri, sasa siwezi kujua kama kweli kifaa hiki nacho kiliwekwa kwa malengo hayo,`` akasema mbunge huyo.

Akielezea kuhusu kutumiwa mvinyo unaodhaniwa kuwa na sumu, mbunge huyo amesema juzi Februari 4, alipotoka bungeni, alifika mapokezi hotelini hapo na kuelezwa na mhudumu kuwa kuna mzigo wake ameletewa na ndugu yake.

Akasema alipouona na kuufungua ili kujua ni mzigo gani, akakuta ni chupa ya mvinyo, lakini kilichomshangaza ni kukuta chupa hiyo ikiwa na vijitundu vidogo na ndipo hapo akawaambia wahudumu waendelee kuitunza.

``Sasa leo nilipokutana na mambo haya, nikawaeleza wahudumu wanipatie na ile chupa ili niwakabidhi polisi kwa sababu vitu hivi vinatia shaka,`` akaongeza.

Kwa upande wake, mbunge wa Konde, Dk.Taarab Ali Taarab, yeye alisema baada ya kuingia chumbani kwake, kamwe hakuwa na taarifa yoyote juu ya vitu alivyowekewa.

Akasema alikuja kustuka pale alipogongewa na mbunge mwenzake na kuelezwa juu ya kilichojiri chumbani kwake, hivyo akaamua kuchukua tahadhari kwa kupekua na ndipo alipokuta na yeye kawekewa kifaa kama hicho.