Sabtu, 15 Agustus 2009

Canada kuchangia bil. 201/- kuendeleza elimu

SERIKALI ya Canada inakusudia kuendeleza sekta ya elimu nchini kwa kuchangia sh bilioni 201 katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Kaimu Mkuu wa Idara ya Maendeleo katika Ubalozi wa Canada nchini Tanzania, Sam Landon, alisema hayo juzi jijini Dar es Salaam wakati wa utoaji wa tuzo ya fasihi ya Kiafrika ya Burt kwa waandishi wa hadithi za watoto.

Tidak ada komentar:

Posting Komentar