Selasa, 20 Oktober 2009

Hiki ni kituo cha kupiga kura ndani ya jiji la Niamey...Uchaguzi Niger.


Poll worker Reinatou Amadou is handed a voter identity card during voting, in a constitutional referendum that would keep President Mamadou Tandja in power, in Niamey, Niger Tuesday, Aug. 4, 2009. The president of uranium-rich Niger pushed forward Tuesday with a highly controversial referendum on a new constitution that would remove term-limits and grant him another three years in office Ñ this time with increased powers.(AP Photo/Rebecca Blackwell)
Kituo cha kupiga kura mjini Niamey

Wapiga kura wanaitika mwito wa upande wa upinzani na kuususia uchaguzi wa bunge


Uchaguzi wa bunge nchini Niger unaendelea licha ya kususiwa na upande wa upinzani na licha ya miito ya jumuia za kimkoa na kimataifa kumsihi rais Mamadou Tandja aakharishe uchaguzi huo.

Idadi ya wapiga kura ilikua ndogo kabisa vituo vya uchaguzi vilipofunguliwa leo asubuhi.

Uchaguzi huo wa kabla ya wakati umelengwa kuimarisha madaraka ya rais Mamadou Tandja,kanali zamani aliyeingia madarakani kupitia avituo vya upigaji kura mnamo mwaka 1999.

Mhula wa pili wa madaraka ya rais Tandja unamalizika december 22 ijayo,lakini mwanajeshi huyo wa zamani amejifungulia njia ya kusalia madarakani kwa miaka mitatu zaidi baada ya kuitisha kura ya maoni Agosti nne mwaka huu.

Tidak ada komentar:

Posting Komentar