Minggu, 18 Oktober 2009

Mafua ya nguruwe yaingia Chuo Kikuu cha Urafiki Lumuba.

Mafua ya nguruwe yaingia Chuo Kikuu cha Urafiki Lumuba. wanafunzi zaidi ya 50 wapo hospitali wamelazwa kutokana na athari za ugonjwa huo. kati ya hao wapo watanzania wasiopungua 7 ambao tayari wamelzwa kutokana na ugonjwa huo. tahadhari chuoni bado haijatolewa chuoni hapo kukiwa na uvumi kwamba yeyote atakayetoa taarifa za mlipuko wa ugonjwa huo anaweza kufukuzwa chuo,,,, hali ni mbaya na watu wengi wanatembea wakiwa wamevaa MASK, kutembeleana, makundi makundi inabidi yaepukwe ili kupunguza kasi ya maambukizo

Tidak ada komentar:

Posting Komentar