Kamis, 02 April 2009

BONGO SASA KAMA MTONI....

KESI YA LIYUMBA KUFUTWA!
Jiji la Dar es Salaam hatimaye limeanza kupata sura ya kuvutia kufuatia majengo marefu ya kupendeza kama linavyoonekana pichani, jengo hili liitwalo Benjamin Mkapa, lililopo Barabara ya Maktaba, maeneo ya Posta jijini. Jengo hili linalinganishwa na majengo ya mamtoni.

Picha na Tedy Mwarabu

Tidak ada komentar:

Posting Komentar