Rabu, 29 April 2009

SIKUKUU YA MUUNGANO ILIYOFANYIKA HUKO MOSCOW RUSSIA, NO COMMENT....

Wadau wakijivinjari taratiiiiibu kabisa katika hafla hiyo ya kuadhimisha sikuku ya Muungano iliyofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa UPDK cultural centre. wa tatu toka kushoto ni Tedy Mwarabu aking'ara kabisha katika hafla hiyo...


Mikonooooooozzzzzzzzzzzzzzz................no comment...Huyo ndiye mzee wa kustarehe, papaa wa ku-spend...

Wadau wakijivinjari taratiiiiibu kabisa katika hafla hiyo ya kuadhimisha sikuku ya Muungano iliyofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa UPDK cultural centre. wa tatu toka kushoto ni mnenguaji hatari a.k.a Maria Internet.


Wazee wa Muungano wakiwa katika pozi. wa katikati ni mzee wa kutumia, mzee wa ku-spend, papaa starehe a.k.a Biboze akiwa na wadau katika sherehe hiyo iliyopata kufana sana.


Wazee wa Muungano wakiwa katika pozi. wa katikati ni mzee wa kutumia, mzee wa ku-spend, papaa starehe a.k.a Biboze akiwa na wadau katika sherehe hiyo iliyopata kufana sana.


Wanamichezo machachari toka chuo kikuu cha urafiki Lumumba Moscow Russia wakionesha ujuzi wao wa kuimba na kucheza. aliyeko katikati ni Maria Internet akiwakilisha...


Maria Internet akionekana kufurahishwaa sana na hali ya mambo ilivyokuwa ikiendelea wakati wakicheza mziki mmojawapo. wa kwanza kulia ni mrembo wa kikundi Ester a.k.a Easter akionesha majonjo

Mkuu wa utawala wa Ubalozi wa Tanzania Moscow (katikati) akiwa na wadau katika hafla hiyo ya Muungano.


Mkuu wa utawala wa Ubalozi wa Tanzania Moscow (katikati) akishiriki tosti, akiwa na wadau katika hafla hiyo ya Muungano.


Mkuu wa utawala wa Ubalozi wa Tanzania Moscow (katikati) akishiriki tosti, akiwa na wadau katika hafla hiyo ya Muungano.


Tidak ada komentar:

Posting Komentar