Sabtu, 14 November 2009

Kongamano la Chama Cha Kiswahili Moscow Lililofanyika katika kumuenzi Mwalimu J.K. Nyerere


Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Kiswahili Moscow Mr. Iddi K. Iddi

Maakuli baada ya Kongamano

Waandaaji wa Maakuli wakiweka Mambo sawa


Mh. Generali Killo akielezea jambo


Mh. Generali Killo akielezea jambo


Mwanashairi akikabidhi maudhui ya shairi kwa Mlezi wa Chama Cha Kiswahili Moscow Kapteni Mstaafu Mh. Balozi Jaka Mwambi mara baada ya kulisoma shairi hilo lililotungwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hichi Mr. Iddi K. Iddi

Mwanashairi akiimba shairi

Wanachama wakifuatilia kwa makini kabisa Hotuba ya Mlezi wa Chama Cha Kiswahili Moscow Kapteni Mstaafu Mh. Balozi Jaka Mwambi

Tidak ada komentar:

Posting Komentar