Minggu, 15 November 2009

Ukiwa Kiongozi Bwana, unaweza ukaitwa mtaaluma wa sayansi na technolojia hata kama hujui 1+1=2.

Je kama desturi ya Ulimwengu ukipewa Uprofesa wa Heshima utaenda Chuo Kikuu Kufundisha?

Image
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dkt. Salim Ahmed Salim, akimtunuku Shahada ya Heshima ya Uzamifu, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Amani Abeid Karume wakati wa Sherehe ya Mahafali ya saba ya Chuo hicho yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).

Tidak ada komentar:

Posting Komentar