Minggu, 22 Maret 2009

Aliyempiga na viatu viwili Rais wa Marekani yupo huru. Kwanini aliyemchapa kofi moja aliyekuwa rais wa Tanzania afungwe?

Mama mzazi wa Irahim Said, kijana aliyemshambulia Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, Mama Rehema akitoka nje ya ofisi ya Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba alipokwenda kumuomba radhi kwa niaba ya mtoto wake jana.


Pia mama huyo yuko njiani kuelekea Ikulu ya Rais Kikwete kuomba msaada...


Na. Joe Mukasa

Tidak ada komentar:

Posting Komentar