Minggu, 22 Maret 2009

Taadhari kwa wanafunzi wote waliojaza fomu za mikopo online

Wanafunzi wote waliojaza fomu ya HESLB namba slf3 ukurasa wa 5/2 online wanashauriwa waangalie tena kwa makini zaidi namba ya account waliyojaza online kwa sababu taarifa za kiufundi zinaonesha kwamba namba hiyo ikiandikwa online, wakati wa kuinakili (printing) HUBADILIKA.

Taadhari hii imetufikia mapema leo kutoka katika vyanzo vyetu

Na Tedy Mwarabu

wa THE THOMCOM

Tidak ada komentar:

Posting Komentar