Minggu, 15 Maret 2009

Moscow kumekucha...Ni usiku wa marahaaa, Mwana FA Live in Moscow


Bingwa wa Mitikasi Mr. Kihiga, Mzee wa starehe Bw. Biboze na Mzee wa kuspend Mr. Kapilima pamoja na THE THOMCOM wamekuandalia usiku wa kukata na shoka, siku ya kuspend, siku ya kustarehe, siku ya kurusha roho, Mademu kibao, magentlemen wakunata, Ma-Dj maarufu pamoja na show toka kwa Msanii machachari nchini Mwana FA ndani ya jiji la Moscow.

Wapi na kwa namna gani, BOFYA HAPA

Usikose uhondo huu, tonge liko mdomoni mwako, uko tayari kumwachia mpita njia alitafune badala yako?...acha hizoooooo....fika ujionee mwenyewe..Kwa maelezo zaidi BOFYA HAPA

Ahahahahaaaa...Kwa mara ya Kwanza ndani ya jiji la Maraha kabisa, МОСКВА РОССИЯ 2009

Tidak ada komentar:

Posting Komentar