Rabu, 11 Maret 2009

Wema Sepetu ameathirika


Wema Sepetu ameathirika

Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Anko Hashimu Lundenga, ameelezea kusikitishwa kwake na matukio yanayomkumba Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu (20) na kudai kuwa, ni vema Mnyange huyo akapimwa ili kujua endapo ameathirika na dawa za kulevya, hivyo kurahisisha zoezi la kumrekebisha...

Tidak ada komentar:

Posting Komentar