Senin, 09 Maret 2009

Leo ni Leo uwanja wa Taifa

Vancouver kuwavaa Yanga leo

champion
Vancouver kuwavaa  Yanga leo
Na Julius Kihampa

MABINGWA wa Ligi Daraja la Kwanza ya Marekani ya Kaskazini, Vancouver Whitecaps FC, leo wanashuka katika Uwanja Mkuu wa Taifa jijini Dar es Salaam kukipiga na mabingwa wa hapa, Yanga kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki...

Tidak ada komentar:

Posting Komentar