Jumat, 20 Maret 2009

Brekin niuz...Technolojia yawasili bodi ya mikopo....fomu sasa kujazwa online...Safi sana ...

body ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu hivi karibuni imemwaga chehe baada ya kutoka makucha yake na kwa machachari sana kwa kuwezesha wanafunzi ambao huomba mikopo kwa ajili ya masomo yao ya elimu ya juu kujaza fomu za maombi online.

Maendeleo haya yamekuja wakati ambao bodi hiyo ya mikopo imepata misukosuko ya hapa na pale baada ya wanafunzi vyuo vikuu nchini kugoma kwa maandamano makubwa hivi karibuni hali iliyofanya serikali kuvifunga vyuo vikuu kwa muda (tayari vimeshafungulia).

Sasa wanafunzi wote wanashauriwa kujaza fomu za mikopo online ili kuepuka kutosomeka kwa mwandiko jambo ambalo linaweza kuchelewesha fedha za wanafunzi.

ripoti na Tedy Mwarabu


Moscow 2009

Tidak ada komentar:

Posting Komentar